Category: MCHANGANYIKO
Tanzania ipo tayari kwa AkiliMnemba – Dkt. Mwasaga
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam IMEELEZWA kuwa, Tanzania sasa ipo tayari kwa matumizi ya teknolojia ya Akili Mnemba na kwamba Watanzania hawapaswi kuwa na hofu yoyote, kwani teknolojia hiyo haiji kuondoa nafasi za kazi bali kuongeza tija. Hayo…
Dkt Mataragio akagua ujenzi wa kituo mama cha kujaz9ia gesi
Amtaka Mkandarasi kuongeza kasi *Mitambo kuanza kusimikwa Septemba 2024 Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Dkt. James Mataragio amekagua kazi za ujenzi wa Kituo cha Kujazia Gesi kinachojengwa katika barabara ya Sam Nujoma mkoani Dar es Salaam na kumtaka Mkandarasi…
Naibu Waziri Kapinga ataka kasi ya uunganishaji umeme Ushetu iongezeke
📌 Asisitiza utunzaji wa miundombinu ya umeme 📌 Kijiji cha Sunga wilayani Ushetu kupata umeme ndani ya siku Tisa Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Shinyanga Naibu Waziri wa Nishati, Mhe.Judith Kapinga ameuagiza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuongeza kasi ya kuwaunganishia…
Kikwete atoboa siri ya ushindi CCM
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amesema anafurahishwa na namna makada, wanachama na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, wanavyoendeleza umoja…





