JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Ujumbe wa Tanzaania wajifunza utengenezaji vifaa vya uongezaji thamani vito

Watembelea Kiwanda cha Mtanzania Aliyewekeza Nchini Thailand Bangkok Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini Msafiri Mbibo mwishoni mwa wiki aliongoza Ujumbe wa Tanzania nchini Thailand kutembelea Kiwanda Earth Supply Co. Ltd kinachotengeneza Mashine zinazotumika katika shughuli za kukata, kutoboa na…

Dk Biteko asisitiza umuhimu wa EREA sekta ya nishati

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amekutana na kuzungumza na Katibu Mtendaji wa Taasisi ya Udhibiti wa huduma za Nishati kwa nchi za Afrika Mashariki (EREA) Dkt. Geoffrey Mabea leo tarehe 26 Februari, 2024 jijini…

Sagini atoa maelekezo kwa Jeshi la Polisi kufuatia ajali iliyoua watu 25 Arusha

Na. Abel Paul, Jeshi la Polisi- Arusha Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Jumanne Sagini amefika Jijini Arusha na kukagua eneo la ajali lilotokea Februali 24, 2024 katika barabara ya Arusha – Namanga, Eneo la Ngaramtoni kibaoni Wilayani…

Watu 25 wafariki katika ajali baada ya lori na magari madogo matatu kugonga Arusha

Na Abel Paul -Jeshi la Polisi, Arusha Watu 25 wameafariki dunia huku wengine 21 wakijeruhiwa katika ajali iliyotokea maeneo ya Ngaramtoni kibaoni by Pass ikihusisha Lori na magari mengine madogo matatu Wilaya ya Arumeru Mkoa wa Arusha. Akitoa taarifa ya…

Jumuiya ya wazazi Shinyanga mjini yateuwa kamati za kutatua kero

Na Suzy Butondo JamhuriMedia, Shinyanga Jumuiya ya Wazazi Wilaya ya Shinyanga mjini imeteuwa kamati ndogo ndogo ambazo zitasaidia kufanya kazi za maendeleo na kuweza kutatua changamoto mbalimbali zilizopo katika jamii ya Shinyanga mjini. Katibu wa Umoja wa wazazi wilaya ya…