JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Chalamila: Wafanyabiashara Kariakoo epukeni kujihusisha kwenye migomo, Serikali kutatua kero zenu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ameyasema hayo mapema leo wŵwni 23,2024 kufuatia uwepo wa taarifa za uvumi wa mgomo wa wafanyabiashara wa Kariakoo amewataka wafanyabiashara kuepuka kushiriki kwenye masuala…

Bandari ya Dar es Salaam yaanza kupokea meli kubwa za mizigo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam Bandari ya Dar es Salaam imeweka rekodi kwa kupokea meli kubwa ya mizigo yenye urefu wa mita 294.1 tofauti na meli ambazo imewahi kuzipokea hapo awali kwani meli ya mwisho kupokelewa ilikuwa na urefu…

Mbunge Yustina Rahhi aunga mkono juhudi za Rais Samia kwa kutoa mafunzo ya ujasiriamali Kiteto

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Manyara Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Manyara Yustina Rahhi ameandaa mafunzo ya ujasiriamali kwa wajengea uwezo akina mama na vijana wajasiriamali wa Mkoa wa Manyara ili kuunga mkono juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan kupelekea…

Wazazi, walezi Iringa washauriwa kuacha ulevi ili kumlinda mtoto

Wazazi na Walezi wa Kijiji cha Tungamalenga Tarafa ya Idodi Wilaya ya Iringa mkoani Iringa wametakiwa kuacha tabia ya ulevi na kutotekeleza majukumu yao ya malezi kwa watoto ili kuhakikisha uliinzi na usalama wa watoto wao. Akizungumza kwenye mkutano wa…

Milioni 250 zaidhinishwa ujenzi wa daraja la Kiloka wilayani Morogoro

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Serikali imeshaidhininisha kiasi cha shilingi Milioni 250 kwa ajili ya ujenzi wa daraja la Kiloka linaounganisha kijiji cha Kiloka na vijiji jirani ambalo lilisombwa na maji ya mvua zilizonyesha mwanzoni mwa mwaka huu nchini. Hayo…