JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Jellah Mtagwa aibua huzuni bungeni

*Ameichezea Stars miaka 15, sasa yu hohe hahe

*Sura yake ilipamba stempu kwenye miaka ya 1980

*Azzan: Ngoja wafe… msome wasifu wao mrefu

Majibu ya Serikali kuhusu kutomsaidia Nahodha wa zamani wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Jellah Mtagwa, yamewaudhi baadhi ya wabunge.

KONA YA AFYA

  Jinsi kitambi kinavyoathiri nguvu za kiume, afya Unajitazama katika kioo, lakini unachukizwa! Unachukizwa na mwili wako mwenyewe. Huna la kufanya, unabaki kuhuzunika tu.   Tumbo! Tumbo! Naam, tumbo lako linaonekana kutuna na kutengeneza mkunjo. Linaonekana linaweza kuchukua muda mrefu…

Nami naomba niushutumu Usalama wa Taifa

 

Desemba 6, 2011 kwenye toleo la kwanza la Gazeti JAMHURI, tuliweka bayana msimamo wetu juu ya masuala yanayolihusu Taifa letu.

MISITU & MAZINGIRA

Uharibifu misitu: Janga linaloiangamiza Tanzania (1)

Tanzania ilibahatika kuwa na hazina kubwa ya misitu ya asili karibu katika kila wilaya na mkoa. Takwimu za mwaka 1998 zinaonesha kuwa Tanzania Bara ilikuwa na hekta (ha) milioni 13 za misitu iliyohifadhiwa kisheria (ikiwa ni zaidi ya misitu 600 ya Serikali Kuu na misitu 200 ikimilikiwa na Serikali za Mitaa, yaani, Halmashauri za Wilaya.

FASIHI FASAHA

Watanzania tunakinyanyasa, kukibeua Kiswahili – 4

“Hali yetu ya Kiswahili hivi sasa si nzuri. Kuna makosa mengi katika matumizi. Inaelekea ufundishwaji wa Kiswahili ni tatizo. Vipi Kiswahili kiwe tatizo wakati ni lugha ya msingi na Taifa? Taifa halijatoa umuhimu wa lugha ya Kiswahili, kifundishwe kuanzia shule za msingi hadi chuo kikuu. Lakini Kiswahili gani kifundishwe? Hata wanaojua Kiswahili wanakiharibu.”