Category: MCHANGANYIKO
TARURA ongezeni umakini kwa wakandarasi : Mhandisi Mativila
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Naibu Katibu Mkuu Wizara ya OR-TAMISEMI anayeshughulikia Miundombinu Mhandisi. Rogatus Mativila ameitaka Wakala ya barabara za Mijini na Vijijini (TARURA) mkoa wa Morogoro kuongeza umakini kwa wakandarasi waotekeleza miradi ya Ujenzi wa barabara na madaraja…
Wadau SHYCOM kuunga juhudi za Serikali katika kuinua elimu kupitia michezo
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma KATIKA kuunga mkono juhudi za Serikali za kuinua kiwango cha Elimu nchini,Umoja wa wanafunzi waliosoma Chuo cha Ualimu Shinyanga (SHYCOM) umezindua Mbio za Shycom Alumni Marathon zitakazo jumuisha kilometa 5, 10 na 21 ambazo zitaenda kufanyika…
Bodi ya TANESCO yafurahishwa na kupongeza maendeleo ya mradi wa Julius Nyerere
Na Charles Kombe, JamhuriMedia, Rufiji Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) imefurahishwa na kupongeza wasimamizi wa mradi juu ya hatua za ujenzi wa Mradi wa Kufua Umeme wa Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP). Hayo yamebainishwa na Makamu…
Mangungu ateua mjumbe wa bodi ya wakurugenzi
Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Murtaza Ally Mangungu amemteua, Dr. Kailima Ramadhani Kombwey kuwa mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba Sports Club Company Limited. Taarifa ya Idara ya Habari na Mawasiliano ya klabu hiyo imebainisha kuwa Dkt. Kailima ataungana…
Waziri Ummy azindua Kampuni tanzu ya Bohari ya Dawa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amezindua Kampuni Tanzu ya Bohari ya Dawa inayoitwa MSD MEDIPHAM MANUFACTURING CO. Ltd., itakayosimamia viwanda vya kuzalisha bidhaa za afya, pamoja na kuzindua Bodi ya Usimamizi wa…
Rais wa Jamuhuri ya Guinea Bisau kufanya ziara kwa siku tatu nchini
Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia, Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Guinea Bissau ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Muungano wa Viongozi wa Afrika katika Kudhibiti Malaria (ALMA), Mheshimiwa Umaro Sissoco Embaló anatarajia kufanya ziara ya siku tatu nchini kuanzia…





