JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Serikali ya Tanzania kushiriki Kongamano la Kimataifa la Usafirishaji nchini China

Waziri wa Uchukuzi , Profesa Makame Mnyaa Mbarawa ameshiriki katika Kongamano la Kimataifa la Usafirishaji Endelevu (2024 Global Sustainable Transport Forum). Kongamano hilo ambalo limekutanisha Mawaziri na Wadau wa masuala usafiri kutoka Mataifa mbalimbali Duniani, limeandaliwa na kuratibiwa na Serikali…

Rais Samia ashuhudia usafishaji kahawa katika Kampuni ya AVIV

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa katika kichanja (dryer) cha kusafisha na kuanika Kahawa aina ya Arabica ya Kampuni ya AVIV Tanzania Limited tarehe 24 Septemba 2024 wakati wa ziara yake katika shamba…

Kapinga : Mkakati wa matumizi ya maji kwa kuzingatia mahitaji ya kila sekta umeleta mafanikio

📌 Ampongeza Dkt.Biteko kutoa muongozo matumizi endelevu ya maji 📌 Asema JNHPP ni kielelezo cha matumizi bora ya maji 📌 Asisitiza Taasisi za Serikali kuendelea kusimamia matumizi bora maji Imeelezwa kuwa, Mkakati wa ushirikiano uliowekwa na Wizara zinazohusika na Sekta…

Ubalozi wa Saudi Arabia waahidi kudumisha uhusiano zaidi na Tanzania

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Taifa la Saudi Arabia limeadhimisha miaka 94 tangu ilipopata uhuru wake kutoka mikononi mwa koloni la muingereza. Kihistoria taifa la Saudi Arabia lilijipatia uhuru wake rasmi mnamo septemba 23 ya mwaka 1932 chini…