JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

FASIHI FASAHA

Watanzania tunakinyanyasa, kukibeua Kiswahili – 2

 

Juma lililopita nilizungumzia lugha yetu ya Kiswahili. Katika makala yale tuliona baadhi ya maandishi yenye kauli zinazoonesha mashaka au wasiwasi wa kunyanyaswa na kubeuliwa Kiswahili.

Haya nayo yana mwisho

Ninapotafakari mwenendo wa kiti cha Spika, sioni kama kuna umuhimu wa kuwa na Bunge.

Kumbe basi, Tanzania tunaweza kuendesha mambo bila kuwa na hiki chombo ambacho katika nchi nyingine, ni chombo kitakatifu.

FIKRA YA HEKIMA

Serikali inapodhamiria kukandamiza wanyonge

 

Kuwapandishia nauli watu wanaoshinda na kulala na njaa ni sawa na kuwachimbia kaburi; maana sasa watashindwa kwenda kujitafutia riziki ya kujikimu na familia zao, na hatimaye watakufa kwa kukosa chakula.

Bila viboko tusahau elimu

Wiki iliyopita nchi hii ilitawaliwa na mjadala wa uamuzi wa Serikali kurejesha viboko shuleni. Mjadala huu najua umegusa mifano mingi. Wachangiaji wengi wamerejea vitabu vya imani mbalimbali, vinavyoeleza jinsi fimbo inavyosaidia kumnyoosha mtoto.

Samaki Ziwa Victoria bye bye

*CAG asema uvuvi huu ukiendelea miaka 15 ijayo litakuwa tupu

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh, ametoa ripoti ya ukaguzi ya mwaka 2011/2012 na kutoa tahadhari kwamba endapo uvuvi haramu hautadhibitiwa katika Ziwa Victoria, miaka 15 hadi 20 ijayo samaki watakuwa wametoweka katika ziwa hilo kubwa katika Afrika.

Dk. Wande alilia mshikamano Simba

*Ahofu mgogoro wa Simba utaathiri soka nchini

Mwanachama wa siku nyingi wa Wekundu wa Msimbazi, Simba Sports Club ya Dar es Salaam, Dk. Mohamed Wande, ametaja mbinu pekee ya kuinusuru klabu hiyo isididimie kisoka kuwa ni mshikamano wa wanachama na wachezaji.