Category: MCHANGANYIKO
Meli za mizigo zaongezeka bandarini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) imesema kutokana na maboresho na mikakati inayofanywa na Serikali kumefanikisha kuongezeka maradufu kwa meli za mizigo katika bandari mbalimbali zilizopo nchini hususan katika Bandari ya Dar…
Tani 50,000 za sukari kuingia nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Serikali imeruhusu kuingizwa nchini kwa tani 50,000 za sukari kwa mwezi wa Januari na Februari kama njia ya kutatua tatizo la uhaba wa sukari nchini. Waziri wa Kilimo, Hussin Bashe amesema hayo na kueleza kuwa kiwango…
Waziri Saada: Serikali kuendelea kuweka mazingira mazuri ya kazi kwa vikosi vya SMZ
Na Sabiha Khamis, Maelezo Zanzibar Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango Dkt. Saada Mkuya Salum amesema Serikali itaendelea kuweka mazingira mazuri ya kufanyia kazi vikosi vya SMZ ili kuendelea kuimarisha ulinzi na usalama nchini. Akizungumza katika ufunguzi…
Maafisa aelimu watakiwa kuhakikisha miradi ya elimu inakamilika kwa wakati
Na. Asila Twaha, OR – TAMISEMI Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)Bw. Adolf Ndunguru amewataka Maafisa Elimu wa Mikoa na Halmashauri kuhakikisha wanafuatilia miradi ya elimu na kuikamilisha ifikapo tarehe Januari 15, 2024….