JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Serikali nayo inapokuwa mlalamishi…

Serikali imesema kasi ya ongezeko la idadi ya watu jijini Dar es Salaam, inatisha. Kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012, Dar es Salaam inakadiriwa kuwa na watu milioni 4.3.

FASIHI FASAHA

Watanzania tunakinyanyasa, kukibeua Kiswahili


“Lugha yetu ya Kiswahili imepata misukosuko mingi kwa kunyanyaswa na kubeuliwa kwa karne nyingi zilizopita. Unyonge wetu ulitokana na kutawaliwa na kudharauliwa uliotufikisha mahali ambapo hata sisi wenyewe tulianza kukinyanyasa na kukibeua Kiswahili.”

FIKRA YA HEKIMA

Rais Kikwete ana uzuri, ubaya wake

 

Siwezi kuamini kwamba Rais wa sasa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete, ni binadamu asiye na upungufu, la hasha!

Kuchinja si tatizo, tatizo ni udini

Wiki hii nimelazimika kuandika tena mada hii. Nimeiandika mada hii baada ya kuona moto unazidi kusambaa nchi nzima. Tatizo lilianzia Kanda ya Ziwa kwenye mikoa ya Mwanza na Geita, likaenda Shinyanga, lakini sasa limehamia Tunduma.

Mjue vizuri Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Aprili 13, mwaka 1922, safari ndefu ya maisha ya Mwalimu Kambarage Nyerere iliyochukua miaka 77 na miezi 6 ilianza Mwitongo kijijini Butiama, kilomita takribani 30 kutoka mji wa Musoma, mashariki mwa Ziwa Victoria lililoko kaskazini mwa Tanzania. Siku hiyo mvua kubwa ilinyesha. Mama Mgaya Nyang’ombe, aliyekuwa mke wa tano kati ya 23 wa Chifu Nyerere Burito wa Zanaki, alijifungua mwanae wa pili. Kwa desturi za kabila la Wazanaki, mtoto wa kike ama wa kiume aliyezaliwa siku ya mvua alipewa jina la KAMBARAGE (mzimu wa mvua).

Alliance hiyooo Uingereza

 

Timu ya soka ya Alliance ya jijini Mwanza, imealikwa kushiriki mashindano ya kimataifa yanayojulikana kama International English Super Cup 2013, huku ikiahidi kurejea nchini na ushindi.