Category: MCHANGANYIKO
Wahariri waguswa mradi wa bomba la mafuta
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar e Salaam WAHARIRI wa habari kutoka vyombo mbalimbali nchini wameshangazwa na kuvutiwa na faida lukuki ambazo jamii na wananchi wa mikoa minane ambao wamepitiwa na mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP)…
RUWASA Simanjiro kufikisha huduma ya maji hadi kwenye Makao Makuu ya Vijiji – Mhandisi Mushi
Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Simanjiro Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini ( RUWASA) Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara Ina mpango mkubwa ni kuhakikisha inafikisha huduma ya Maji kwenye Makao Makuu ya Vijiji vyote Wilayani humo. Hayo yamebainishwa hivi karibuni…
Akiba benki yatoa elimu ya fedha kwa wadau mbalimbali
Na Magrethy Katengu, Jamuhuri Media Dar es Salaam Benki ya Akiba imesema itaendelea kuunga mkono serikali kwa kutoa elimu ya fedha huku ikiboresha huduma zake nchi nzima ili kusaidia kuwafikia wananchi wengi zaidi na kuchochea kukua kwa uchumi wa Taifa….
Kailima : Daftari la wapiga kura halihusiki na uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhani Kailima, amesema uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura hauhusiani na maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika…
Gari la TANESCO lapata ajali mmoja afariki
Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar ea Salaam Mtu mmoja amefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha gari aina ya fuso yenye namba za usajili T 195 EDF, iliyokuwa imebeba watumishi wa shirika la umeme Tanesco. Gari hilo lililokuwa…
Dk Biteko azindua taarifa za utendaji sekta ya nishati
📌 Sekta ya Nishati yazidi kuimarika 📌 Uwekezaji kwenye Gesi Asilia, Mafuta na Umeme waongezeka 📌 Ataka changamoto zilizoainishwa zipatiwe majibu ndani ya miezi mitatu 📌 Aitaka EWURA kupima uhusiano wa Rasimali na mabadiliko ya Maisha ya watu 📌 Aagiza…





