JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

TLS : Wananchi bado wanahitaji katiba mpya

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimesema kuwa wananchi bado wanahitaji Katiba Mpya ambayo ni mustakabari wa Nchi. Kutokana na hilo, TLS imeendelea kutimiza wajibu wake kwa umma kwa mujibu wa sheria ambapo imeendesha…

Chumba maalum cha ufuatiliaji maafa cha kwanza Bara la Afrika chazinduliwa Tanzania

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, SERIKALI kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)imezinduzi Chumba maalum cha Ufuatiliaji wa Mwenendo wa Majanga na Tahadhari ya Mapema (Situation Room for Mult-Hazard Monitoring and Early Warning) katika Kituo cha Taifa cha Operesheni…

Kailima awataka wanasiasa kuacha kuwadanganya wananchi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waandishi wa habari wameshauriwa kuandika ukweli kuhusiana na suala la vyama vya siasa kuitaka INEC isimamie uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa hoja kuwa sheria ya Tume ya Huru ya Taifa ya Uchaguzi…

Serikali imepanga kutumia Bajeti ya Mwaka 2024/2025 trilion 49.35/-

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali kwa mwaka 2024/2025 imepanga kutumia jumla ya shilingi trilioni 49.35 kiasi hicho kinajumuisha: shilingi trilioni 15.74 kwa ajili ya ulipaji wa deni la Serikali na gharama nyingine . Ameyasema Juni 13, 2024…

Mafanikio miradi ya kusafirisha umeme yatajwa kutoka bajeti Kuu ya Serikali

Akisoma Hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025, Bungeni-Dodoma, Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali ya Awamu ya Sita imekamilisha ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme ya msongo wa Kilovoti 400 na kituo kipya…

Mwenyekiti wa UVCCM Shinyanga atumbuliwa

Na Suzy Butondo, JamhuriMedia, Shinyanga Halmashauri kuu ya CCM Mkoa wa Shinyanya chini ya mwenyekiti wake Mabala Mlolwa kimemvua madaraka mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana UVCCM Wilaya ya Shinyanga mjini Jonathan Agustino Madete kwa kosa la utovu wa nidhamu. Akizungumza…