JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Washiriki 500 wakiwemo asasi za kiraia, sekta binafsi kushiriki wiki ya AZAKI Arusha

Na Mwandishi Wetu, JamhiriMedia Washiriki wapatao 500 wakiwemo wadau wakuu wa maendeleo wa Asasi za kiraia pamoja na Sekta Binafsi, wanatarajiwa kushiriki katika wiki ya Asasi za Kiraia (AZAKI), itakayofanyika kuanzia Oktoba 23 hadi 27, 2023 Jijini Arusha. Mkurugenzi Mtendaji…

Majaliwa : FAO yaahidi kuiunga mkono Tanzania

*Ni katika mikakati yake ya kukuza na kuendeleza sekta ya kilimo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo (FAO) limeahidi kuunga mkono jitihada za Serikali ya Tanzania katika kukuza na kuendeleza sekta ya…

Tanzania kuwasilisha ombi CAF matumizi ya matangazo ya Kiswahili

Na Shamimu Nyaki, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Damas Ndumbaro amesema Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inatarajia kuwasilisha ombi la kuweka matangazo kwa lugha ya Kiswahili…

Dar kuwa na siku maalumu ya kuthamini kazi ya mwalimu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo Okyoba 5, 2023 ametangaza rasmi kuwepo kwa siku maalum ya kuthÄ«amini mchango wa kazi ya Mwalimu katika Mkoa huo. RC Chalamila amesema hayo wakati akihutubia mamia…