Category: MCHANGANYIKO
Yah: Kama nikichaguliwa kuwa rais nitafanya yafuatayo
Wanangu, ningependa mpokee mawazo yangu muone, je, kuna tija yoyote ya kuwa mbele katika mambo ambayo mimi niko nyuma kama wazee wengine wa zamani; na kwamba uzembe huo wa kutokwenda na wakati ninyi mwendao na wakati mmefanikiwa kwa kiwango gani!
Huhitaji mtaji kuanzisha biashara!
Miaka ya karibuni, dhana ya ujasiriamali imeenea kwa kasi kubwa miongoni mwa wanajamii. Kwa sasa kila kona tunasikia ujasiriamali – kanisani, mitaani, vyuoni na katika mikutano ya kisiasa kunahubiriwa ujasiriamali. Hata hivyo, kuna kibwagizo kinachojirudia kila zinapotajwa changamoto za ujasiriamali – ukosefu wa mitaji!
FASIHI FASAHA
Tunakubali rushwa ni adui wa haki? (2)
Juma lililopita, nilielezea madhumuni ya Serikali kuunda Tume ya Kero ya Rushwa, na nilionesha matatizo makuu mawili yaliyoikabili katika harakati za kubaini kero ya rushwa nchini.
FIKRA YA HEKIMA
Miradi ya kiuchumi inaua lengo la dini?
Imani za kishirikina zimeendelea kushika kasi nchini, kiasi cha watu wengi kuamini kuwa dini zimeweka kando majukumu ya kiroho na kujikita katika miradi ya kiuchumi.
EU itaisumbua sana Uingereza hii
Uamuzi wa Uingereza kupiga kura ya maoni kuwa ndani au nje ya Umoja wa Ulaya (EU) unaogopesha. Watu wanaweza kuona ni kitu kidogo hapa au hapo nyumbani, lakini ukizama kwa kina unaona kwamba tayari kuna mtetemeko kwenye sekta mbalimbali za jamiii.
Zitto, wanasiasa mnatenda dhambi mtakayoijutia
Kwa mwezi mzima sasa Taifa letu limegubikwa na vurugu za umiliki wa gesi. Wakazi wa Mkoa wa Mtwara wakiongozwa na propaganda za Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, ambaye sasa anazungumza lugha za malaika akidai anawatetea wananchi wa Mtwara, wanachimba mtaro kwa ajili ya mkondo wa maafa.
- Dk Biteko awataka maafisa maendeleo jamii wasikubali kuachwa nyuma
- Shule 216 za Serikali zatumia nishati safi ya kupikia – Kapinga
- Serikali yakabidhi hati mbili za mashamba ya umwagiliaji
- CHAKAMWATA wampongeza Rais Samia kupandisha mishahara kwa watumishi
- TEMESA Arusha yatekeleza maagizo ya Serikali kwa mafanikio kupitia mfumo wa MUM
Habari mpya
- Dk Biteko awataka maafisa maendeleo jamii wasikubali kuachwa nyuma
- Shule 216 za Serikali zatumia nishati safi ya kupikia – Kapinga
- Serikali yakabidhi hati mbili za mashamba ya umwagiliaji
- CHAKAMWATA wampongeza Rais Samia kupandisha mishahara kwa watumishi
- TEMESA Arusha yatekeleza maagizo ya Serikali kwa mafanikio kupitia mfumo wa MUM
- REA yakamilisha kufikisha umeme vijiji vyote 523 Mkoa wa Lindi
- Breaking News; Cleopa Msuya afariki dunia, Rais Samia atangaza siku saba za maombolezo
- Wataalam Afrika Mashariki wajadili Nishati Safi ya kupikia jijini Arusha
- RUWASA yapeleka neema ya maji Mloka, Mbunju Mvuleni, Ndundutawa Rufiji
- Kundi la G55 CHADEMA latangaza kung’oka , wadai kutengwa
- CRDB yawahakikishia wawekezaji ukuaji endelevu wa uwekezaji wao
- Makadinali 133 wajumuika Vatican kumchagua mrithi wa Papa
- Tanzania, Zambia zakutana kujadili mpango kazi uimarishaji mpaka wa kimataifa
- Mama Ulega akabidhi gari, vifaa vya ujasiriamali kwa UWT Pwani
- Tanzania na mageuzi makubwa ya sekta ya ardhi