Category: MCHANGANYIKO
Soko la Chifu Kingalu ni ‘bomu’
*Vibanda zaidi ya 200 vyafungwa kwa miezi sita *Biashara yadorora, kisa? Malumbano na Manispaa Morogoro Na ALEX KAZENGA Kutokuaminiana kati ya baadhi ya wafanyabiashara wa Soko Kuu la Chifu Kingalu na uongozi wa Manispaa ya Morogoro kunatajwa kuwa tishio kwa…
Simbachawene: La Uhamiaji mmepotoshwa
*Wakili Madeleka auliza maswali magumu DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene, amezungumza na Gazeti la JAMHURI na kusema suala la Uhamiaji kutoa visa feki gazeti limepotoshwa na mtoa habari. Waziri Simbachawene ameliambia JAMHURI…
Walioambukizwa COVID-19 Afrika wakaribia milioni 5
ADDIS ABABA, ETHIOPIA Imethibitishwa kuwa watu 4,867,727 walikuwa wameambukizwa virusi vinavyosababisha ugonjwa wa corona (COVID-19) barani Afrika hadi kufikia katikati ya wiki iliyopita. Taasisi ya kukabiliana na magonjwa barani Afrika iliyo chini ya Umoja wa Afrika (AU), Africa CDC, imesema…
Mfereji wa Suez kupanuliwa
CAIRO, MISRI Mipango imeanza kuupanua Mfereji wa Suez nchini Misri kama njia ya kuhakikisha usalama na ufanisi wa usafirishaji, hasa kwa njia ya meli. Machi mwaka huu biashara duniani iliingia kwenye mtanziko mkubwa baada ya meli moja kubwa ya mizigo…
Mbowe akiri uzembe 2020
TABORA Na Mwandishi Wetu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema kushindwa kwao katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana hakukuchangiwa na aliyekuwa mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli pekee, bali ni pamoja…
RC amtaka Mwenyekiti wa Kijiji kurejesha Sh 150,000
TABORA Na Benny Kingson Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ali Hapi, amemwagiza Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Itaga, Manispaa ya Tabora, Mashaka Ramadhani, kurejesha Sh 150,000 alizomdhulumu mkazi wa kijijini hapo. Agizo hilo limetolewa kwenye mkutano wa hadhara baada…