Category: MCHANGANYIKO
TRA Pwani yazindua kampeni maalumu ya tuwajibike
Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani katika kupambana na kudhibiti mianya ya ulipaji wa kodi imezindua kampeni maalumu yenye lengo la kutoa elimu kwa wafanyabiashara juu kutumia mashine za kielekroniki (EFD) pindi wanapouza bidhaa zao. Hayo yamebainishwa…
NIC lapata mageuzi makubwa ndani ya miaka mitatu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Shirika la Bima la Taifa (NIC) limeelezea mageuzi yaliyofanyika ndani ya miaka mitatu katika shirika hilo na kusababisha litoke kwenye kuzalisha hasara na kuzalisha faida. Katika kipindi cha mwaka 2019/20 NIC ilikua inazalisha faida ya Sh…
Majaliwa aipa tano Taifa Stars
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameipongeza timu ya Taifa ya mpira wa miguu (Taifa Stars) kwa kufuzu kuingia michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Africa Cup of Nations 2024) itakayofanyika nchini Ivory Coast. Ametoa pongezi hizo leo (Ijumaa, Septemba 8,…
Spinel ya Mahenge ya lulu Thailand
Bei yake kwa Sasa Yatajwa ni Mara 10 Zaidi ya Tanzanite Na Wizara ya Madini – Bangkok Imeelezwa kuwa Madini ya Vito aina ya Spinel yanayochimbwa Mahenge Tanzania ni miongoni mwa bidhaa inayotafutwa kwa kiasi kikubwa na Wanunuzi na Wauzaji…
Bodi ya REA yataka umeme vijijini utumike kuzalisha mali
Na Veronica Simba – REA Bodi ya Nishati Vijijini (REB) inayosimamia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imetoa wito kwa wananchi walionufaika kwa kupata umeme kupitia miradi mbalimbali inayotekelezwa na Wakala hiyo, kuitumia nishati hiyo kwa shughuli za uzalishaji mali ili…
Serikali yaombwa kuwadhibiti wafanyabiashara walioficha mafuta Songea
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia,Songea Waendesha bodaboda na vyombo vingine vya moto wameomba Serikali ione umuhimu wa kuchukuwa hatua za haraka kuwadhibiti baadhi ya wafanyabiashara wa vituo vya mafuta katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea ambao baada ya kusikia Serikali imevifungua…