JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Serikali yaombwa kuwadhibiti wafanyabiashara walioficha mafuta Songea

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia,Songea Waendesha bodaboda na vyombo vingine vya moto wameomba Serikali ione umuhimu wa kuchukuwa hatua za haraka kuwadhibiti baadhi ya wafanyabiashara wa vituo vya mafuta katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea ambao baada ya kusikia Serikali imevifungua…

NMB yaahidizi makubwa kwa Dk Samia akifunga tamasha la Kizimkazi

BENKI ya NMB imemuahidi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan kwamba itaendelea kuwa mdau kinara wa Serikali yake katika kusukuma mbele gurudumu la maendeleo ya Watanzania. Ahadi hiyo imetolewa jana Agosti 31 na Afisa Mtendaji…

Wizara ya ardhi yaja na mabadiliko makubwa ya kimfumo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesema inaendelea kufanya maboresho makubwa ya kimfumo na muundo kwa lengo la kuewezesha mambo mengi ya wizara hiyo kufanyika kimfumo, Hayo yamebainishwa leo Agosti 31, 2023 na Katibu…

Rais Samia aweka Jiwe la Msingi la Skuli ya Mil. 600/- inayojengwa na NMB

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Skuli ya Maandalizi Tasani, iliyopo Shehia ya Tasani, Makunduchi, inayojengwa na Benki ya NMB, ikitarajia kugharimu Sh….

Chanzo cha DC Hanafi Mtwara kutumbuliwa

 Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo akiwa Kibaha, Pwani kufunga mafunzo ya Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa amesema anamfuta kazi Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Hanafi Msabaha kutokana na kupeleka mradi mahali ambako haukutakiwa kwenda…