JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Taifa Stars ipo tayari kwenda AFCON

Na Tatu Saad, JAMHURI MEDIA Baada ya kuweka kambi huko nchini Misri na kuanza mazoezi kwajili ya mchezo wa mzunguko watatu wa kundi F,kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika ‘AFCON 2023’, Kocha wa Taifa Stars, Adel Amrouche ameeleza namna…

Michuano ya robo fainali za kombe la shirikisho kuanza April

Na Tatu Saad,JAMHURI MEDIA Shirikisho la soka Tanzania ‘TFF’ hatimaye limeweka bayana tarehe maalum za michezo minne ya hatua ya robo fainali ya kombe la shirikisho Tanzania Bara ‘ASFC’ msimu huu 2022/2023. Taarifa hiyo muhimu imetolewa kupitia vyanzo vya habari…

Kamati yaagiza wadaiwa sugu kuondolewa nyumba za TBA

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeiagiza Wakala wa Ujenzi Tanzania (TBA), kuwaondoa wapangaji ambao hawalipi kodi ya nyumba, hususani watumishi wa taasisi za serikali. Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Seleman Kakoso ametoa agizo hilo jana jijini Dar es Salaam…

TRA Chunya yajivunia sekta ya madini kwa ukusanyaji wa kodi

Na Richard Mrusha,JamhuriMedia MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya imesema kuwa asilimia kubwa ya mapato katika Wilaya hiyo yanatokana na Madini ambapo wachimbaji wadogo wamekuwa na uelewa mpana juu ya kifaa kinachotumika katika kurahisisha ukusanyaji wa…

Tanzania Prisons yatuma salamu kwa Namungo

Na Tatu Saad, JAMHURI Baada ya kupokea kipigo cha mabao 4-1 kutoka kwa Yanga Sc katika hatua ya 16 bora wa kombe la shirikisho Azam ‘ASFC’ Tanzania Prisons wamesema wapo tayari kuwakabili Namungo Fc. Akizungumza kocha mkuu wa Tanzania Prisons…