Category: MCHANGANYIKO
Jabir Kigoda ahusishwa magari ya wizi
DAR ES SALAAM NA MWANDISHI WETU Mfanyabiashara, Jabir Kigoda, anakabiliwa na tuhuma za kukutwa na magari matatu yanayodaiwa kuwa ni ya wizi. Magari hayo ya kifahari yamo kwenye orodha ya magari yaliyoibwa nchini Afrika Kusini. JAMHURI limeambiwa kuwa Shirikisho la…
MANCHESTER UNITED YAANZA LIGI, KWA USHINDA DHIDI YA LEICESTER
Manchester United kimeanza harakati za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu England msimu wa 2018/19 kwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Leicester City. Katika mchezo huo uliopigwa Uwanja wa Old Trafford, United imejipatia mabao yake kupitia kwa Paul…
Yanga Kucheza na Timu ya Mchangni leo
Baada ya siku takribani tano kupita tangu kikosi cha Yanga kiweke kambi mjini Morogoro, imeelezwa Kocha Mkuu, Mwinyi Zahera ameomba mechi moja kukipima kikosi chake. Taarifa kutoka Morogoro zinasema Zahera ameomba apatiwe timu moja ambayo haishiriki Ligi Kuu Bara ili…
Hemed Morocco Aweka Wazi Kujiengua Singida United
Baada ya kuelezwa kujiengua ndani ya kikosi cha Singida United ikielezwa hajalipwa baadhi ya stahiki zake, Kocha Hemed Morocco, amesema hakuna kilichoharibika. Morocco amekuja na kauli ya kitofauti akisema hakuna tatizo lolote lililotokea baina yake na mabosi wa Singida, huku…
YANGA YAENDELEA KUJIFUA MOROGORO KWA AJILI YA WARABU
Kikosi cha Yanga kipo mjini Morogoro kikiendelea na mazoezi kwa ajili ya mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya USM Alger. Yanga itashuka dimbani Uwanja wa Taifa Dar es Salaam Agosti 19 2018 kumenyana na Alger kutoka Alger wakiwa…