JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Jela maisha kosa la kunajisi

Hukumu ya kifungo cha maisha gerezani imetolewa kwa Moses Method (23) mkulima na mkazi wa kijiji cha Kasuga wilayani Kakonko mkoani Kigoma baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kumbaka mwanafunzi wa darasa la pili mwenye umri wa miaka tisa. Hakimu wa Mahakama ya Wilaya ya…

Uwekezaji mkubwa uliofanywa na Serikali Bandari ya Mtwara wavunja rekodi

●Serikali yawekeza Bil.157.8/-, Matokeo chanya yaanza kuonekana●Yajivunia kuwa na tozo nafuu kuliko bandari shindani ukanda wa Afrika Mashariki Na Stella Aron, JamhuriMedia, Mtwara BANDARI ya Mtwara ni mojawapo kati ya bandari kuu tatu za mwambao wa bahari zilizopo nchini, zinazosimamiwa…

Rais Samia azungumza na wafanyabiashara na wawekezaji jijini Oslo Norway

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akichangia jambo katika Mkutano wa Jukwaa la Biashara lililowahusisha Wafanyabiashara na Wawekezaji wa Tanzania na Norway Jijini Oslo tarehe 13 Februari, 2024. Viongozi, Wawekezaji na Wafanyabiashara mbalimbali wakiwa kwenye…

NIT yatoa mafunzo kwa wahudumu wa mabasi ya masafa marefu na Miji

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule amefungua mafunzo ya usafirishaji kwa wahudumu wa mabasi ya masafa marefu na Mijini kanda ya Kati yaliyoandaliwa na chuo cha taifa cha usafirishaji (NIT)kwa lengo la kuboresha huduma hiyo kuendana…

Daraja mto Ruaha Mkuu Morogoro kuchagiza maendeleo mikoa ya Nyanda za Juu Kusini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Imeelezwa kuwa Mradi wa Ujenzi wa Daraja la mto Ruaha Mkuu lililopo kwenye barabara ya Kidatu – Ifakara lenye urefu wa mita 133 mkoani Morogoro, utakapokamilika utakuwa na manufaa makubwa ikiwemo kuchagiza maendeleo, kukuza uchumi…