JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

‘Wizara ya Maji ina jukumu la kuhakikisha nchi inakuwa na maji

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Singida WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso,amezindua jengo la ofisi kuu ya Bonde la Kati zilizopo mjini Singida na maabara za ubora wa maji na kuyataka mabonde mengine kwenda kujifunza utendaji mzuri wa kazi unaofanya na viongozi wa bonde…

Bashungwa awasimamisha kazi watumishi watano Kiteto

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kiteto Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMIA), Innocent Bashungwa ameagiza watumishi watano kusimamishwa kazi na kuhojiwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa tuhuma za kuisababishia hasara…

Kinana amfagilia Rais Samia anavyojituma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana amemmwagia sifa Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na kazi kubwa anayofanya ya kuleta maendeleo ya Watanzania. Kanali Mstaafu Kinana ametoa sifa hizo kwa Rais Samia…

Mgawo wa umeme Ludewa wapatiwa ufumbuzi

Waziri wa Nishati,Januari ametoa ufumbuzi wa changamoto ya miaka mingi ya mgawo wa umeme wa masaa 12 kwa vijiji 20 katika Wilaya ya Ludewa ambavyo vimekuwa vikipata umeme kutoka kampuni ya Madope. Kampuni hiyo ya Madope inayoendesha mradi huo mdogo…

Wahukumiwa kwenda jela miaka 150

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Tabora Watu 5 wamehukumiwa kifungo cha miaka 150 jela baada ya kupatikana na hatia unyan’ganyi wa kutumia silaha katika eneo la Urasa kata ya Mambali wilaya ya Nzega mkoani Tabora. Akitoa hukumu hiyo jana hakimu mkazi wa Mahakama…

Jenista aiasa Tume ya Utumishi wa Umma kusimamia haki

Na Veronica Mwafisi,JamhuriMedia,Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama ameiasa Tume ya Utumishi wa Umma kusimamia haki wakati wa kutoa maamuzi ya mashauri ya kinidhamu ya watumishi wa umma…