Category: MCHANGANYIKO
Mambo 10 makubwa aliyofanya Zuhura Yunus akiwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwezi Februari 2022, Zuhura Yunus alianza kazi rasmi kama Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, baada ya kuteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mwanamke wa kwanza kushika nafasi hiyo. Zuhura alipata uteuzi…
Wafanyabiashara Kariakoo wamwangukia Rais Samia tozo TRA
Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia Dar es Salaam JUMUIYA ya wafanyabiashara Kariakoo wamemuomba Rais Dk Samia Suluhu Hassan kutoa maelekezo kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kushughulikia tozo zote mizigo ikiwa bandarini kusaidia kuondoa usumbufu bidhaa zinapoongizwa sokoni. Hayo yamebainishwa leo, Juni…
TLS yawanoa wanahabari
Na Joyce Kasiki,Dodoma CHAMA cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimetoa mafunzo kwa waandishi wa habari yaliyolenga kuongeza tija katika utendaji kazi kwa waandishi wa habari hasa kwenye eneo la uhuru wa kujieleza. Akizungumza wakati akifungua mafunzo hayo,Makamu Mwenyekliti wa chama hicho…
Dirisha la wanafunzi kuomba mkopo 2024/25 lafunguliwa
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Bodi ya Mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu nchini(HESLB), imetangaza kufunguliwa dirisha la kuomba mkopo kwa wanafunzi wa mwaka wa masomo 2024/2025 huku waombaji wametakiwa kusoma mwongozo kabla ya kuomba. Akizungumza na…
Doyo atangaza kugombea nafasi ya uenyekiti ADC
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katibu Mkuu wa Chama Cha Alliance for Democrac Change (ADC) Taifa, Doyo Hassan Doyo ametangaza nia ya kugombea nafasi ya Uenyekiti Taifa baada ya Mwenyekiti wa sasa Hamad Rashid Mohamed kumaliza muda wake…
NEMC kuanza utekelezaji maagizo ya Serikali yaliyotolewa kwenye maadhimisho ya Siku ya Mazingira
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limesema lipo mbioni kuanza kufanyia kazi upya mapitio ya Sheria za mazingira ili kufanikiwa, kupunguza na hatimaye kukomesha kabisa uharibifu wa mazingira nchini . Hatua…





