JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wizara yazinadi leseni 441 za utafutaji madini

Miradi ya STAMICO yatajwa London Wizara ya Madini imezinadi Leseni zipatazo 441 za utafutaji wa madini muhimu na mkakati na leseni 46 kwa ajili ya uchimbaji wa madini hayo ambazo ni fursa kwa wawekezaji kwa ajili ya kuingia ubia na…

Serikali yamwaga vifaa tiba vya milioni 222.472/- Singida

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida SERIKALI ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia Bohari ya Dawa (MSD) imekabidhi vifaa tiba Mkoa wa Singida vyenye jumla ya takribani Sh.Milioni 222.472. Vifaa hivyo ni pamoja na majenereta,…

RC Chalamila aridhishwa na ujenzi wa shule ya sekondari ya Mvuti

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo Novemba 20, 2023 amefanya ziara kukagua ujenzi wa shule ya sekondari Mvuti iliyopo kata ya Msongola-Ilala na kupongeza ujenzi huo wa kisasa.Ā  Mhe….

Chalamila apokea msaada wenye thamani ya mil. 137/- Ocean Road

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo Novemba 19, 2023 amepokea msaada wa vifaa tiba vya thamani ya Milioni 137 kutoka katika Familia ya GSM vifaa tiba ambavyo vimeelekezwa katika Taasisi ya ocean road jijini Dar es…

Wanawake Afrika wampa tuzo ya heshima Balozi Getrude Mongela

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Wito umetolewa kwa Wanawake kujiamini na kujipambanua kitaifa na kimataifa kwenye kusimamia ajenda za maendeleo yenye usawa wa kijinsia na kupinga ukatili wa kijinsia na kwa watoto. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi…