Category: MCHANGANYIKO
Waziri Mkuu amaliza ziara Belarus, anadi fursa za uwekwzaji
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa ametumia ziara yake nchini Belarus kunadi fursa za uwekezaji katika maeneo manne ya kipaumbele ya Serikali ya awamu ya sita ambayo ni kilimo, afya, madini na ulinzi &…
Bil.36.596 za mradi wa Sequip zilivyoinufaisha Dodoma kwenye sekta ya elimu
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Mkoa wa Dodoma ni miongoni mwa maeneo ambayo yamepata fedha nyingi kupitia mradi wa kuimarisha ubora wa Elimu ya sekondari nchini SEQUIP ambapo umepokea zaidi ya Bilioni 36.596 Fedha hizo ambazo zimetolewa na serikali zimetumika kujenga…
Bodi ya TMA yakagua utendajikazi vituo vya rada ya hali ya hewa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Bodi ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imefanya ziara ya kikazi ya kukagua utendaji kazi wa Mamlaka katika kituo cha Rada ya Hali ya Hewa, Bangulo, Pugu na Ofisi za TMA…
Balozi Kambanga awakaribisha wajumbe wa Tanzania nchini Rwanda
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Rwanda, Mhe. Dkt. Habib Kambanga, amekutana na kuukaribisha rasmi ujumbe wa Tanzania uliowasili jijini Kigali kushiriki Mkutano wa 16 wa Tume ya Pamoja ya Kudumu ya Ushirikiano (JPC) kati ya Tanzania na…
Tanzania yaendelea kuongoza kudumisha usalama na ushirikiano wa kisiasa SADC
Waziri wakati Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema Tanzania imeendelea kuongoza juhudi za kudumisha amani, usalama na ushirikiano wa kisiasa katika ukanda wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ikiwa Mwenyekiti…
JK kinara maandalizi ya kongamano la TICAD 9 nchini Japan
Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza katika Kongamano Maalumu kuhusu Maendeleo, Usalama wa Chakula na Uchumi Endelevu wa Bluu barani Afrika lililofanyika tarehe 23 – 24, Julai 2025 katika mji wa Hakone, Japan. Kongamano hilo lililoandaliwa kwa pamoja na…