Category: MCHANGANYIKO
Wamanchi wa Serengeti wameamua kumpokea Dk Samia kwa kishindo
๐ธ Tazama nyomi la wananchi wa Serengeti mkoani Mara waliojitokeza katika kumlaki, kumsikiliza na kumpa kura zake kabisa Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Rais Dkt. ๐ฆ๐ฎ๐บ๐ถ๐ฎ ๐ฆ๐๐น๐๐ต๐ ๐๐ฎ๐๐๐ฎ๐ป ambaye leo tarehe 10 Oktoba 2025 atanadi Ilani, Sera na Ahadi…
CCM imeendelea kumuenzi hayati mwalimu Nyerere katika misingi ya utawala bora – Dk Samia
Mgombe wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. ๐ฆ๐ฎ๐บ๐ถ๐ฎ ๐ฆ๐๐น๐๐ต๐ ๐๐ฎ๐๐๐ฎ๐ป amesema CCM imeendelea kumuenzi Hayati Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere katika misingi ya utawala bora….
THBUB yalaani tukio la kutekwa kwa Polepole
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imelaani tukio la taarifa za kushambuliwa na kutekwa kwa aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Mhe. Humphrey Polepole, tukio lililodaiwa kufanywa na watu wasiojulikana tarehe 6…
Chalamila Azindua Programu ya โKonekt Umeme, Pika kwa Umemeโ
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, leo Oktoba 9, 2025, amezindua rasmi programu ya โKonekt Umeme, Pika kwa Umemeโ, ubunifu wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) unaolenga kuongeza matumizi ya…




