Category: MCHANGANYIKO
Watano kizimbani wakijifanya wakala wa kampuni za simu na kuibia watu Dar
Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Watu watano wamepandishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni wakikabiliwa na mashtaka 23 likiwemo la kuongoza genge la uhalifu na wizi wa fedha kiasi cha Sh 3,600,000. Washtakiwa katika kesi hiyo ni Wangina…
Mwangesi: Hauwezi kuwa mwangalizi wa maadili ya watu wengine kama wewe huna maadili
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Rai imetolewa kwa Watumishi wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kufanya kazi kwa kuzingatia maadili na weledi wa hali ya juu wanapotekeleza majukumu yao. Rai hiyo imetolewa na Kamshina wa…
Tumeridhia matapeli wa kiroho waliangamize taifa
Na Manyerere Jackton, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika miaka ya hivi karibuni kumekuwapo ongezeko la mitume na manabii wa uongo barani Afrika, hususan Tanzania, wanaohubiri mafanikio ya haraka kupitia miujiza, utajiri wa ghafla na baraka za kiroho zinazotokana na vitu…
Tuunge mkono kwa vitendo mkakati wa taifa wa nishati safi ya kupikia -Katimba
📌 Asisitiza Watanzania kuwa sehemu ya Mkakati 📌 Aeleza athari za matumizi ya Nishati isiyo safi 📌 Atoa hofu ya Gesi kulipuka Naibu Waziri Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Mhe. Zainabu Katimba ametoa rai kwa wananchi kuunga mkono kwa vitendo Mkakati…
Rais Samia awaenzi mashujaa wa vita ya Majimaji
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametembelea Makumbusho ya Vita vya Majimaji iliyopo Mjini Songea Mkoani Ruvuma, kwa lengo la kutoa heshima ya Kumbukizi ya Mashujaa wa Vita ya Majimaji vilivyopiganiwa takribani miaka 119 iliyopita…





