JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Kifo cha mwanamuziki nguli wa Kimarekeni Tina Turner chawaliza wengi

Mwanamziki nguli wa Kimarekani, Tina Turner aliyeutumbuiza ulimwengu kwa miongo mingi amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 83.nyumbani kwake Zurich Switzerland. Turner ambaye alifahamika kama Malkia wa muziki wa Rock and Roll, alifariki jana nyumbani kwake karibu na mji…

‘Vifo vilivyohusisha ulaji nyama ya ng’ombe Rombo havihusiani na Kimeta’

Serikali imesema vifo vya watu wawili vilivyotokea kwa ulaji wa nyama kwenye kijiji cha Msaranga kilichoko Kata ya Kisale, Wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro Mei 4 mwaka huu havihusiani kabisa na ugonjwa wa kimeta. Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa…

Waziri Bashungwa amshukuru Rais Samia kuendelea kuzipa kipaumbele shughuli za ulinzi

Na Jacquiline Mrisho , JamhuriMedia, MAELEZO Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Innocent Bashungwa, amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuzipa kipaumbele shughuli za ulinzi kwa kutoa fedha kugharamia…

NHC, ZHC kuondoa changamoto za makazi bora

……,……………………………… Na Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angellina Mabula amesema kuwa uwepo wa makubaliano ya mashirikiano baina ya Shirika la Nyumba la taifa (NHC) na lile la Zanzibar (ZHC)  utasaidia kuondoa changamoto mbalimbali…

Rais Mstaafu Kikwete aongoza harambee ya GGML KILL Challenge

Na Mwandishi Wetu Jumla ya Dola za Marekani 700,000 (sawa na Sh bilioni 1.6) zimepatikana katika uzinduzi wa harambee ya kampeni ya GGML Kili Challenge iliyoongozwa na Rais mstaafu Dk. Jakaya Kikwete kwa lengo la kukusanya Sh bilioni 2.3 fedha…