JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Ubalozi wa Denmark waadhimisha siku ya katiba ya taifa lao

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Siku ya Katiba ya Denmark ama pia maarufu kwa jina la (GRUNDLOVSDAG ) ni siku muhimu inayohusiana na historia ya katiba ya nchi hiyo. Siku hii inahusiana na kupitishwa kwa katiba ya kwanza ya Denmark mwaka…

Mchechu : Kwanini kila taasisi inapaswa kuchangia mapato yasiyo na kodi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika safari ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii, mchango wa taasisi za umma kupitia gawio na mapato mengine yasiyo ya kodi, ni chachu ya ustawi wa taifa. Serikali imewekeza jumla ya Sh86.3 trilioni…

Serikali imeendelea kuchukua hatua kukabiliana na athari za mazingira

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kukabiliana na changamoto za athari za mabadiliko ya tabianchi zinazochangia kuongezeka kwa kina cha bahari na kuathiri fukwe mbalimbali. Hayo yamesemwa na Naibu wa Waziri Ofisi ya Makamu wa…