JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Samia achaneni na wanaotaka kushusha heshima ya Tanzania

Na Kulwa Karedia, Jamhuri Media, Sengerema Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amesema wapo Watanzania ambao kila wakiona jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linaheshimika duniani kazi yao wao ni kushusha heshima ya nchi…

Mgombea udiwani ACT – Wazalendo Kata ya Mabale aahidi kujenga zahanati

Mgombea udiwani kata ya Mabale jimbo la Missenyi mkoani Kagera kupitia ACT WAZALENDO Sweetbert Kaizilege John ameahidi kujenga kituo kipya cha kutolea huduma ya kliniki kwa watoto kitongoji Nyamilembe kijiji cha Kibeo ili kuwanusuru na changamoto wanazokabiliana nazo akina mama…

Dk Samia : yaliyoanzishwa na Magufuli Mwanza nimeyamaliza

Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewashukuru wananchi wa Misungwi kwa kujitokeza kwa wingi katika mkutano wake wa kampeni leo Jumanne, Oktoba 7, 2025, akisema mwitikio mkubwa ni…

Akinamama 137 Hospitali ya Mwananyamala wapata elimu chanjo ya Polio

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Ikiwa imesalia siku kadhaa Tanzaniakuungana na Nchi Nyingine Duniani kuadhimisha Siku ya Polio Duniani inayotarajia kufanyika Oktoba 24 Klabu ya Rotary Kampala imetoa hamasa kwa akina mama 317 kuhakikisha wanapojifungua watoto wao wanapata…

Dk Samia aahidi kuchochea uchumi Mwanza kwa kuboresha barabara, TARURA kuongezewa bajeti

Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuongeza bajeti ya ujenzi wa barabara zinazohudumiwa na Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) ili kuboresha mtandao wa barabara…