Category: MCHANGANYIKO
Baada ya kujenga daraja, Aliko ataka ubunge CCM
Na Ruja Masewa, JamhuriMedia,Rungwe Baada ya kuchangia maendeleo mara nyingi ikiwemo Ujenzi wa Madaraja katikaJimbo la Rungwe mkoani Mbeya, Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwaiteleke Foundation Aliko Anyambilile Mwaiteleke, sasa anautaka ubunge Rungwe kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM). Aliko aliyejitolea kutunza…
Mradi wa kuzalisha umeme wa jua Kishapu wafikia asilimia 63.3 – MD Twange
📌Asema awamu ya kwanza utazalisha Megawati 50 na kuingizwa kwenye Gridi ya Taifa Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kishapu Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Bw. Lazaro Twange amesema Mradi wa uzalishaji umeme unaotokana na jua wa Kishapu Mkoani Shinyanga umefikia asilimia 63.3…
Usiyoyajua kuhusu chifu aliyezikwa katika kaburi la mviringo akiwa ameketi Mbinga
Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Ruvuma KATIKA kijiji cha Mbuji kilichojificha kwenye vilima vya wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma, kuna kaburi la aina yake kaburi linalobeba historia ya maumivu, ujasiri, usaliti, na ushindi. Hili si kaburi la kawaida. Ni kaburi la…
Dk Biteko aeleza mapinduzi yaliyofanywa na Serikali sekta ya elimu
📌 Ataka CWT wasigawanyike, ahimiza amani, upendo na mshikamano* 📌 Serikali kuendelea kuajiri walimu kila mwaka 📌 Serikali ya Awamu ya Sita yajenga madarasa 62,685 ya shule za msingi na sekondari, shule mpya za msingi na sekondari 2,611 na nyumba…
Shekhe Mavumbi ahamasisha waislamu kupiga kura
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora WAUMINI wa dini ya kiislamu Mkoani Tabora wametakiwa kujitokeza kwa wingi kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu ili kuchagua madiwani, wabunge na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wito huo umetolewa leo na Shekhe…