Category: MCHANGANYIKO
Viongozi 20 wa CCM Kibaha Mjini waachia ngazi kwa nia ya kugombea udiwani
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Viongozi 20 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kibaha Mjini, mkoani Pwani—wakiwemo Wenyeviti, Makatibu na Makatibu wa Jumuiya mbalimbali—wameachia nafasi zao wakitarajia kugombea Udiwani wa Kata pamoja na Viti Maalum katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba…
Bilioni 916.7/- zipo tayari, someni miongozo, ombeni mikopo ya elimu
Na Dk. Reubeni Lumbagala, JamhuriMedia, Tanga Elimu ni gharama. Wahenga wakaweka wazi ukweli huu kwa kusema “Ikiwa unaona elimu ni ghali, basi jaribu ujinga.” Ni ukweli ulio dhahiri kuwa gharama za kupata elimu ziko juu, ndiyo maana serikali ikachukua jukumu…
Balozi Nchimbi aongoza waombolezaji kumuaga mzee Mongela
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi ameongoza mamia ya waombolezaji, katika utoaji wa heshima za mwisho na hatimae mazishi ya Mzee Silvin Ibengwe Emmanuel Mongella, mwenza wa mmoja wa viongozi waandamizi wastaafu nchini, Bi….
Serikali : Hatutarajii wawekezaji kushindana na Watanzania kwenye biashara ndogondogo
Na Mwandishi Wetu SERIKALI imetoa wito kwa wawekezaji wa kimataifa kuwekeza nchini kwa kiwango kikubwa na katika miradi ya kimkakati, ikisisitiza kuwa haivutii wawekezaji wanaokuja kushindana na Watanzania kwenye biashara ndogondogo. Wito huo umetolewa leo jijini Dar es Salaam na…
Makamu wa Rais kumwakilisha Rais mkutano wa bahari nchini Ufaransa
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango, leo tarehe 07 Juni 2025 ameondoka nchini kuelekea Ufaransa kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa Tatu wa…
Serikali inatambua mchango wa viongozi wa dini – Majaliwa
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Sita inawaamini na inathamini mchango wa viongozi wa dini wa madhehebu yote. Amesema serikali itaendelea kuimarisha ushirikiano kati yake na viongozi hao ili kujenga amani, mshikamano na ustawi wa jamii ya…