Category: MCHANGANYIKO
Wanaharakati Afrika wakutana Dakar kuizungumzia Palestina
Na Nizar K Visram (Canada) Machi 10 hadi 12, mwaka huu wanaharakati kutoka nchi za Afrika wamekutana Dakar, Senegal. Hawa ni wawakilishi wa makundi kutoka Botswana, Cameroon, Cote d’Ivoire, DR Congo, Gambia, Ghana, Guinea-Bissau, Mauritania, Morocco, Msumbiji, Namibia, Tunisia, Zambia,…
Serikali, TFS kuzibadili nyanda kame
*Profesa Silayo apania kurejesha uoto wa asili Kanda ya Ziwa, huku akiifanya Dodoma kuwa ya kijani MAGU Na Joe Beda Wakala wa Huduma za Misitu nchini (TFS) umedhamiria kurejesha uoto katika maeneo ya nyanda kame (dry land areas) nchini, ikiwa…
LIVERPOOL, MAN CITY: Nani atashinda nini msimu huu?
LONDON England Yamebaki mataji matatu yanayoshindaniwa kwa sasa England; timu mbili kubwa, Liverpool na Manchester City zote zinayahitaji. Swali ni nani atashinda nini na kujiandikia historia? Kiungo wa zamani wa Liverpool, Danny Murphy, anachambua. Inaonekana kana kwamba wiki chache za…
Mheshimiwa Rais tuwekeze zaidi vijijini
DAR ES SALAAM NA DK. FELICIAN B. KILAHAMA Ni jambo la kumshukuru Mungu aliye muweza wa yote kwa kutujalia uhai na afya njema baada ya kutimiza mwaka mmoja wa uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan. Akiwa Makamu wa Rais, aliapishwa…
Asante sana Dk. John Magufuli
Na Samwel Kasori CHATO Alhamisi ya Machi 17, mwaka huu ni mwaka mmoja tangu nchi yetu iondokewe na Rais wa Awamu ya Tano, Dk. John Pombe Joseph Magufuli. Hiki ni kipindi cha kutafakari mambo mengi, hususan jinsi Dk. Magufuli alivyojitoa…
Ukifika Kojani, utatokwa machozi
PEMBA Na Yusuph Katimba Nenda uendako, lakini ukifika katika Kisiwa cha Kojani, kilichopo Mkoa wa Kaskazini Pemba, utastaajabu maisha yao, kama si kuugumia maumivu, basi unaweza kumwaga machozi. Ukiwa kwa mbali, fikra za haraka unaweza kudhani Kojani ni kisiwa kilichohamwa,…





