Category: MCHANGANYIKO
Vita ya Urusi dhidi ya Ukraine na ukweli kuhusu NATO
DAR ES SALAAM Na Abbas Mwalimu Urusi inatekeleza kile alichokiita Rais wake, Vladimir Putin, ‘Operesheni Maalumu’ nchini Ukraine aliyoitangaza Februari 24, mwaka huu. Wakati huu Urusi ikielekea Kyiv ambao ni Mji Mkuu wa Ukraine, Rais wake, Volodymyr Zelensky, ameuomba Muungano…
Sonona imegharimu maisha ya Rapa Riky Rick
DAR ES SALAAM Na Christopher Msekena na mitandao Tasnia ya burudani Afrika Kusini bado imo katika simanzi ya kuondokewa na rapa mwenye mafanikio na mshindi wa tuzo mbalimbali, Riky Rick, aliyefariki dunia kwa kujinyonga Jumatano asubuhi ya wiki iliyopita. Riky…
Ufaulu Hisabati bado ni tatizo
DAR ES SALAAM Na Mwalimu Samson Sombi Mchakato wa utekelezaji wa sera ya Tanzania ya viwanda unapaswa kuanzia shuleni na vyuoni kwa kuwaandaa wahitimu katika ngazi mbalimbali za elimu. Ni lazima kutekeleza sera hiyo kwa vitendo baada ya mafunzo na…
Mkakati wa siri Freemasons kuitawala dunia – (4)
DAR ES SALAAM Na Mwalimu Paulo Mapunda Hapo zamani Mungu alikwisha kufunua kupitia ndoto ya Nebukadreza, Mfalme wa Babeli (The King of the Ancient Mesopotamia) iliyotafsiriwa na Daniel, Nabii (Daniel 2:44, 45) kwamba utawala wa Mungu ndio utakaosimama mwisho baada…
Nchi maskini huzisaidia nchi tajiri, si vinginevyo
Na Nizar K. Visram Kupiga vita umaskini ni ajenda inayozungumzwa sana, hasa katika Bara la Afrika. Aghalabu watu hutofautiana katika mbinu za kufikia lengo hilo. Kuna wanaosema ni halali kwa nchi ‘maskini’ kuomba misaada kutoka nchi ‘tajiri’. Wengine watasema hatuna…
Polisi kudhibitiwa
*Sheria yawaondolea mamlaka ya kumkamata tena aliyefutiwa kesi *DPP azuiwa kufungua kesi hadi upelelezi ukamilike, masharti yalegezwa *Uhujumu uchumi sasa ni kuanzia bilioni 1, awali hata Sh 1 ilihusika *Mawakili watoa mazito, wapinga kifungu 47A kuwapa polisi meno DAR ES…





