Category: Siasa
Chongolo amaliza ziara yake Simanjiro kwa stahili hii
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo amemaliza ziara yake Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara ambapo pamoja na kukagua uhai wa chama sanjali na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020-2025. Katibu Mkuu kwa…
Majaliwa : Tutaendelea kuwatumikia Watanzania
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wana-CCM na wananchi kwa ujumla waendelee kuiamini Serikali yao kwa sababu watendaji wake wamejipanga kuwatumikia kwa weledi, uadilifu na uaminifu wa hali ya juu….
Chongolo ayataka mabaraza ya madiwani kuacha kulumbana
Katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo ameyataka mabaraza ya madiwani nchini kufanya kazi za kujadili maslahi ya wananchi na sio kulumbana kwa maslahi yao binafsi. Chongolo amesema hayo jana wakati akizungumza na wanachama wa CCM katika Kijiji…
Chongolo aanza ziara Morogoro,agusia migogoro ya wakulima na wafugaji
…………………………………………………………. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Daniel Chongolo ameanza ziara ya kikazi leo Januari 28 mkoani Morogoro huku akitumia nafasi hiyo kueleza sababu za kufanya ziara hiyo ndani ya mkoa huo. Aidha amesema pamoja na mambo mengine anatambua mkoa…