Category: Kitaifa
NMB yachangia mil. 41.2/- kuinua sekta ya elimu Ilala
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Benki ya NMB mwishoni mwa wiki ilikabidhi madawati, viti na meza zenye thamani ya shilingi milioni 41.2 kwa shule sita zilizopo wilaya ya Ilala, mkoani Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa dhamira…
Tanzania kuwa kitovu cha uzalishaji na uchimbaji madini
Na Immaculate Makilika – MAELEZO Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan alisema kuwa Serikali imefikia uamuzi wake wa kuingia makubaliano na kampuni zenye uwezo wa kuchimba na kuchakata madini nchini ili nchi iweze kunufaika na…
Dkt. Tax akutana na Rais mstaafu wa Msumbiji
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Stergomena Tax amekutana na kuzungumza na Rais Mstaafu wa Msumbiji Joaquim Chisano jijini Dar es Salam. Dkt. amemshukuru Chisano kwa kukubali mwaliko wa kuja kushiriki utoaji wa Tuzo za…