Category: Kitaifa
Biteko achukua fomu kugombea Bukombe, ahimiza kampeni za kistaarabu
Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Bukombe, Zedekiah Solomon Osan amemkabidhi fomu ya uteuzi wa kugombea nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Bukombe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Doto Mashaka…
Nyasa yazizima,John Nchimbi achukua fomu kugombea ubunge
-Mamia wamsindikiza kwa ngoma, vifijo na nderemo -Aaahidi kushirikiana na watia nia wote kuijenga Nyasa -Awataka Wananchi kuunga mkono juhudi za kuleta maendeleo Na Byarugaba Innocent, Nyasa DC Mapema leo Agosti 26, 2025 mgombea Ubunge Jimbo la Nyasa kupitia Chama…
Queen Lugembe aingia mbio za kuwania Jimbo la Ubungo kwa tiketi ya ACT-Wazalendo
Dar es Salaam, Agosti 24, 2025 – Mwanaharakati na kada wa ACT-Wazalendo, Queen Julieth William Lugembe, leo amechukua fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la Ubungo kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025. Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu hiyo katika…
Mpina : Ninaifahamu kwa kina mizigo ya Watanzania nakwenda Ikulu kuitatua
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Mpina, amesema anaifahamu kwa kina mizigo ya Watanzania, ikiwemo changamoto za kilimo, ufugaji, biashara, uchimbaji madini, bodaboda na kusisitiza kuwa amedhamiria kuyatatua mara atakapochaguliwa. Akizungumza…
Shani achukua fomu ya kuwania ubunge Jimbo la Chamanzi kwa tiketi ya AAFP
Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia,Dar es Salaam Mgombea wa Jimbo Jipya la Chamanzi kwa Tiketi ya Chama cha Wakulima AAFP Shani Kitumbua amewaomba Wananchi ridhaa ya kumchagua nafasi aliyoimba kwani atakwenda kutatua kero ikiwemo kuisemea barabara ya Kilungule ambayo ni Mbovu,uchache wa…





