Category: Kitaifa
Aliyekuwa Mlipaji Mkuu wa Serikali afariki dunia
Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu na Mlipaji Mkuu wa Serikali wa Wizara ya Fedha na Mipango, katika Serikali ya Awamu ya Nne, Bw. Ramadhani Musa Khijjah (65), amefariki dunia alfajiri ya kuamkia Aprili 17 katika eneo la Jet Lumo, wilayani Temeke,…
TPA yaadhimisha miaka 13 kwa mafanikio makubwa
Na Mwandishi Maalum Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (Tanzania Ports Authority – TPA) inaadhimisha miaka 13 tangu kuanzishwa kwake mwaka 2005. TPA ilianzishwa kwa mujibu wa Sheria ya Bunge Na. 17 ya mwaka 2004 kwa kurithi kazi za iliyokuwa…
SERIKALI IMEFANIKIWA KUDHIBITI MATUKIO YA UVUVI HARAMU NCHINI
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira January Makamba katikati akipanda moja kati ya mikoko ya miche 140,000 iliyotolewa na Kampuni ya Vodacom Foundation katika mikoa inazungukwa na bahari ya hindi ili kuzuia mabadiliko ya tabia…
MITI YA ASILI IPANDWE NA KUTUNZWA KWA FAIDA YA VIZAZI VIJAVYO-LUAMBA
Mwenyekiti wa shirika lisilo la kiserikali linalojishughulisha na masuala ya upandaji miti la SAHO,(wa kwanza kushoto) akiwa kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi wenzake baada ya kupanda moja ya mche wa mti wa asili ,katika shule ya msingi Visiga wakati…
Lulu Azimisha Siku Yke ya Kuzaliwa kwa Kutoa Zawadi, Akiwa Gerezani
Ikiwa ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Msanii wa Bongo Movie, Elizabeth Michael maarufu kwa jina lake la sanaa la Lulu ambaye anatumikia kifungo chake gerezani, ametumia siku ya leo kutoa zawadi kwa watoto wenye tatizo la vichwa vikubwa…





