Category: Kitaifa
Rais Samia ataka watumishi wala rushwa wachukuliwe hatua
…………………………………………………………………………………… Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan ameiagiza Wizara ya Katiba na Sheria pamoja na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kushirikiana na Wizara za kisekta kuzifanyia marekebisho sheria zote zenye mizunguko inayochelewesha kesi na upatikanaji wa…
Rais azindua Tume ya Kuangalia Jinsi ya Kuimarisha Taasisi za Haki Jinai
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan amezitaka Taasisi za Haki Jinai kuendesha na kusimamia haki jinai kwa kuzingatia misingi ya sheria, weledi, usawa, uadilifu pamoja na mila na desturi zetu. Rais Samia amesema hayo leo wakati akizundua…
Benki ya Maendeleo Plc yapata faida maradufu 2022
Na Mussa Augustine,JamhuriMedia Benki ya Maendeleo Plc imepata faida ya shilingi Bilioni 1.3 mwaka 2022 ukilinganisha na faida ya shilingi milioni 587 ambapo ni sawa na ongezeko la zaidi ya mara mbili ya faida hiyo. Hayo yamesemwa Jijini Dar es…