Category: Kitaifa
Jaji aamua kuipitia hukumu ya ‘kiaina’ Moshi
Kashfa inayomkabili Hakimu Mkazi Mfawidhi Mkoa wa Kilimanjaro, Joachim Tinganga, ya kutoa hukumu yenye utata kisheria kwa mshitakiwa aliyepatikaa na hatia ya kukutwa na mali ya wizi, imefikishwa hatua za juu za uongozi wa Mahakama. Mahakama Kuu Kanda ya Moshi…
Ardhi yaitesa Wizara ya Nishati na Madini
Baadhi ya wataalamu wa sekta ya nishati nchini, wamebainisha kuwa moja ya changamoto kuu zinazoikabili sekta hiyo hususan usalama wa nishati, ni upatikanaji wa ardhi kwa ajili ya uendelezaji wa miradi ya umeme. Changamoto hiyo na nyingine kadhaa zilibainishwa hivi…
Afariki na miaka 113
Bibi Carolina Tibakwegomba aliyezaliwa mwaka 1902 katika Kijiji na Kata Kitendagoro, Manispaa ya Bukoba, mkoani Kagera, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 113. Mkuu wa ukoo wa Abakoba, ambao ni ukoo wa bibi huyo, Mzee Khasim Abdalah Karuandila (80)…
Baraza la Magufuli sura mpya
Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli, amekwepa kihunzi cha wasaka nafasi ya uwaziri waliokuwa wakihaha kuomba nafasi hizo. Habari za uhakika zilizoifikia JAMHURI zinaeleza kuwa kumekuwa na msururu wa wanasiasa nchini…
Machimboni Mirerani kwafukuta
Chama cha Wachimbaji Madini Mkoa wa Manyara (MAREMA) Tawi la Mirerani, kimepinga taarifa iliyotolewa na Kaimu Kamishna wa Madini Tanzania, kikisema itavuruga amani na utulivu katika machimbo ya tanzanite ya Mirerani mkoani humo. MAREMA wamesema: “Chama kimepokea kwa masikitiko makubwa…
Rais Magufuli ‘atua’ Bandari
Kasi ya utendaji kazi ya Rais John Magufuli, imefanikisha kuanza kufungwa kwa mita 12 za kupimia mafuta katika Bandari ya Dar es Salaam. Rais Magufuli, baada ya kufanya ziara ya kushitukiza katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), mashine za MRI…