JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Madeni ya JK balaa

Deni kubwa ambalo Serikali inadaiwa na Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, linatishia uhai wa mifuko hiyo, kiasi cha baadhi kuanza kusuasua na hata kushindwa kulipa mafao kwa wanachama wake, JAMHURI inathibitisha. Hadi mwanzoni mwa mwaka jana, mifuko yote sita ilikuwa…

Maalim ajivua lawama Z’bar

Sasa ni dhahiri. Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Shariff Hamad, ametabiri hatari ya mgawanyiko unaoweza kuikumba Zanzibar, lakini asingependa alaumiwe kwa uamuzi utakaochukuliwa Zanzibar. Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) na Serikali ya Mapinduzi wametangaza…

Kinyesi, damu kero Kimara

Wakazi wa Mtaa wa Kimara Stopover, Dar es Salaam wamelalamikia kero ya kinyesi na damu ambavyo vimekuwa vikisambaa katika makazi yao kutoka machinjio ya Suka. Wakazi hao wameieleza JAMHURI kwamba kutokana na kukithiri kwa uchafu huo, afya zao zimekuwa hatarini…

Ofisa KCMC atuhumiwa kuajiri Warundi

Ofisa Utumishi wa Hospitali ya Rufaa ya KCMC, Kilimanjaro, inayomilikiwa na Shirika la Msamaria Mwema (GSF), Alpha Chabakanga (57), anatuhumiwa kuwaajiri raia wanne wa Burundi katika shughuli za ujenzi wa nyumba yake. Pia anatuhumiwa kuvunja haki za binadamu kwa kumtumikisha…

TEF yapata safu mpya ya uongozi

Mhariri Mtendaji wa Gazeti JAMHURI, Deodatus Balile, amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF). Balile alichaguliwa katika nafasi hiyo katika uchaguzi uliofanyika Jumamosi iliyopita mjini Morogoro. Katika uchaguzi huo uliojaa ushindani, Balile alipata kura 47 na kumshinda…

Ya Lake Oil tuliyasema

Februari, 2013 tuliandika habari ambayo hatimaye Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) chini ya uongozi wa Serikali ya Awamu ya Tano, imeuthibitishia umma ilikuwa kweli. Kampuni ya Mafuta ya Lake Oil imebainika kukwepa kodi ya Sh bilioni 8.5…