Category: Kitaifa
URAIS 2015
*Vikumbo vyaanza uchaguzi NEC-CCM
*Matayarisho ya mitandao yapamba moto
*Sura mpya, waliopotea waanza kuibuka
*Kipimo cha kukubalika ni kwenye NEC
Harakati za kuwania nafasi mbalimbali, hasa ujumbe wa Halmashauri Kuu (NEC) ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), zimetafsiriwa kwamba ni maandalizi ya kuelekea kwenye kinyang’anyiro cha urais mwaka 2015.
Mkurugenzi: Ilala jitokezeni sensa
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ilala, Gabriel Fuime, amewataka wakazi wa Ilala kujitokeza kwa wingi kushiriki sensa ya watu na makazi inayofanyika kuanzia Jumapili wiki hii. Fuime aliiambia JAMHURI mwishoni mwa wiki kuwa kuna umuhimu mkubwa wa wakazi wa Ilala kujitokeza kwenye sense, kwani bila kufanya hivyo mgawo wa fedha kutoka serikalini utapungua.
Ripoti ya majangili yatoka
*Wamo Polisi, Kada CCM, wafanyabiashara
*Vigogo Polisi Kigoma, Mugumu wahusishwa
Idara ya Ulinzi, Kitengo cha Intelejensia cha Mamlaka ya Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), imetoa ripoti ya ujangili iliyo na majina ya wahusika wakuu na namna wanavyolindwa na vyombo vya dola nchini. JAMHURI imepata ripoti hiyo ya kurasa 30 iliyosainiwa na Mhifadhi wa Intelejensia, Renatus Kusamba.
Balozi za Tanzania aibu tupu
*Baadhi hawajalipwa mishahara miezi sita, zimeajiri Wakenya
*Ufaransa pango Sh milioni 720, wanatumia anwani ya Uganda
*Ofisi zinaporomoka, Kikwete asema Richmond imeiponza nchi
*Membe alia Serikali kukata bajeti yake ikabaki asilimia 44 tu
Sura na heshima ya Tanzania nje ya nchi inashuka kwa kasi kubwa, kutokana na Serikali kuzitelekeza balozi zake nje ya nchi.
Yapo mambo mengi ya aibu yanayowakumba mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania nje ya nchi, kwani baadhi ya balozi zinashindwa kulipia huduma ya simu, maji, umeme na baadhi ya magari yanazimika na kuwashwa kwa kusukumwa kama ya uswahilini. Taarifa ya ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama iliyotembelea balozi mbalimbali imeibua uozo wa ajabu.
Majaji maji shingoni
*Maelezo ya Jaji Ramadhani, Luanda moto
*Ripoti ya Ikulu nayo yataka waondolewe
*Lissu ataka wapime, kumshitaki Kikwete
*Amtaka Jaji Kiongozi Fakih Jundu ajiuzulu
Mhimili wa Mahakama umetikisika baada ya kuwapo ushahidi wa wazi kwamba Rais Jakaya Kikwete amevunja Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, kwa kuwaongezea mikataba ya kazi baadhi ya majaji na kumpandisha cheo mwingine.
RIPOTI MAALUMU
Majaji ‘vihiyo’ watajwa
*Yumo aliyeshindwa kuandika hukumu miaka minne
*Wengine wagonjwa, hawajawahi kusikiliza kesi
*Yumo Jaji wa Mahakama ya Rufaa asiye na shahada
*Baada ya kubanwa sasa anasoma Chuo Kikuu Huria
*Wengine walikuwa mahakimu watuhumiwa wa rushwa
- Injinia Mwalugaja aongoza mapinduzi ya uwekezaji Katavi
- TCU yasitisha udahili wa shahada ya udaktari MzU 2025/26
- Katambi: EACLC leteni wafanyabiashara wenye teknolojia na ujuzi ambao haupo nchini
- Ubora wa CBE wazidi kuongezeka kimataifa
- Serikali ya Tanzania si ya kuamrishwa wala kupewa maelekezo – Rais Samia
Habari mpya
- Injinia Mwalugaja aongoza mapinduzi ya uwekezaji Katavi
- TCU yasitisha udahili wa shahada ya udaktari MzU 2025/26
- Katambi: EACLC leteni wafanyabiashara wenye teknolojia na ujuzi ambao haupo nchini
- Ubora wa CBE wazidi kuongezeka kimataifa
- Serikali ya Tanzania si ya kuamrishwa wala kupewa maelekezo – Rais Samia
- Nchi yetu inaongozwa kwa misingi ya katiba na sheria na sio madhehebu ya dini – Dk Samia
- NMB yatoa 500m/- kusaidia matibabu ya moyo ya watoto 125 nchini
- Tutaendelea kuilinda Tanzania na usalama wa raia na mali zao – Rais Dk Samia
- Mawaziri, viongozi wa dini na wazee wa Mkoa wa Mkoa wa Dar es Salaam wakiwa katika kikao cha JNICC
- Rais Samia : Walioandaa vurugu walidhamiria kuangusha dola ya nchi yetu
- Desemba 9, tuepuke “Kaliba kashaija…”
- Kunenge : Bodaboda wote wapewe mafunzo ya usalama barabarani mkoani Pwani
- Soma Gazeti la Jamhuri Desemba 2-8, 2025
- Wananchi wa Ormekeke Ngorongoro waanza kunufaika na mradi wa maji
- CBE yashika nafasi ya nane ubora vyuo elimu ya juu