JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Viongozi Kata ya Mchikichini watoa elimu ya Sensa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Mussa Azan Zungu ambaye pia ni mbunge wa Ilala amewaasa Watanzania kushiriki kikamilifu Sensa ili kutimiza lengo la Serikali kupata takwimu za msingi za watu na hali za makazi ambazo…

Mrema alikuwa ni mwanasiasa aliyepitia machungu mengi

Na Happiness Katabazi,JamhuriMedia LEO asubuhi Agosti 2, 20221 nimepokea taarifa za kifo cha Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour ( TLP), Augustine Lyatonga Mrema kuwa amefariki katika Hospital ya Taifa ya Muhimbili alikokuwa amelazwa tangu Agosti 16, mwaka huu kwa…

Sensa ya Makazi Agosti 23 tuhesabiwa wote kwa maendeleo

Sensa ya Watu na Makazi ni utaratibu wa kukusanya, kuchambua, kutathimini na kuchapisha na kusambaza takwimu za kidemographia, kiuchumi na kijamii kuhusiana na watu wote na makazi yao katika nchi kwa kipindi maalum. Kwa maana nyingine, sensa ni zoezi maalum…

Tanzania kuendelea kishirikiana na Mahakama ya Kimataifa ya Haki

Tanzania imeahidi kuendelea kushirikiana na Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) ili iweze kunufaika zaidi na kazi za Mahakama hiyo yenye hadhi ya juu duniani. Ahadi hiyo imetolewa leo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Africa Mashariki,…

DC Ludigija awataka wadau kuzingatia maslahi upandishaji nauli

Na Aziza Nangwa,JamhuriMedia, Dar Mkuu wa Wilaya ya Ilala Ng’wilabuzu Ludigija amewataka wadau wa utoaji maoni juu ya upandishwaji nauli za treni, lazima wazingatie maslahi ya pande zote mbili. Lubigija amesema wadau katika mchakato wa utoaji maoni ,lazima wabebe jukumu…

Uzinduzi asasi za kiraia (AZAKI) suluhisho la maendeleo

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar Imeelezwa kuwa jitihada za makusudi zinazofanywa na Asasi za kiraia katika kuimarisha ushirikiano miongoni mwa wadau mbalimbali wa sekta hiyo zinatambuliwa na sekta binafsi kama sehemu muhimu ya kuharakisha maendeleo ya wananchi na Taifa kwa ujumla….