JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Mwenge wafanikisha marejesho ya bil.2.2/- Kagera

Mbio za Mwenge wa uhuru mwaka 2022 zilizofikia kilele Oktoba 14,2022 mkoani Kagera,zimefanikiwa kurejesha fedha za mikopo kwa vijana kupitia mfuko wa Maendeleo ya vijana kiasi cha shilingi za kitanzania bilioni 2.2. Moja ya ajenda ya Mbio za Mwenge wa…

Serikali kurejesha ari ya usomaji vitabu nchini

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Serikali imesema itafanya jitihada za uhamasishaji wa usomaji wa vitabu nchini. Hayo yamesemwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. James Mdoe wakati akifunga tamasha la 31 la vitabu lililomalizika jana katika…