Category: Kitaifa
Nyamka awashauri wananchi kuchagua mafiga matatu CCM, asisitiza ni msingi wa maendeleo
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kibaha Mjini, Mwalimu Mwajuma Nyamka, amewaasa wananchi wa Kata ya Pichandege kuhakikisha wanachagua mafiga matatu kutoka CCM katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025,huku akisisitiza kufanya hivyo ni msingi…
Dk Biteko aeleza miaka 10 ya mapinduzi ya maendeleo Bukombe
Ataja sababu za kumchagua Dkt. Samia kwa kura nyingi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bukombe kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Doto Mashaka Biteko amesema kuwa kwa Serikali ya CCM inayoongozwa na Dkt. Samia Suluhu Hassan imefanya jitihada…
Jenista Mhagama : Serikali kuanza kutoa mikopo ya kilimo kwa vijana
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Jenista Mhagama ambaye ni mgombea ubunge kwa tiketi ya chama cha mapinduzi (CCM)Jimbo la Peramiho mkoani Ruvuma amesema Serikali kupitia Wizara ya kilimo itaanza kutoa mikopo ya kilimo kwa vijana, wenye lengo la kuwainua kiuchumi…
Dk Nchimbi atinga Jimbo la Lupembe Njombe
Picha mbalimbali za matukio ya mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwahutubia wananchi wa Jimbo la Lupembe, waliohudhuria mkutano wake mdogo wa hadhara wa kampeni…
SAU yaahidi kulinda vyanzo vya maji
Na Aziza Nangwa,JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha Sauti ya Umma (SAU) kimesema kwenye ilani yake ya mwaka 2025-2030 kwamba kitaushirikisha umma kulinda vyanzo vya maji pamoja na kutekeleza miradi yote ya maji na kujenga mabwawa makubwa kwa ajili ya…
Ada Tadea kuanzisha kilimo cha kisasa
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha ADA TADEA kimesema kitahakikisha kinatumia maarifa zaidi kufufua kilimo na ufugaji wa kisasa. Kupitia Ilani yake ya mwaka 2025-2030 kimesema kitaanzisha mashamba makubwa ya ngano kama vile Basotu, mashamba makubwa ya…





