JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Bondia Matumla kuzichapa na bondia kutoka Namibia Paul Amavila Februari 28

Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia, Dar es Salaam BONDIA Amiri Matumla,anatarajia kupanda ulingoni Februari 28, mwaka huu, kupambana na mpinzani wake kutoka Namibia, Paul Amavila. Akizungumza na Waandishi wa habari Jijini Dar es salaam leo, Feb 25, 2025 na Mkurugenzi wa Mafia…

Serikali, wadau waombwa kusapoti mashindano ya Lina PG Tour

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro SERIKALI wakiwemo wadau mbalimbali wa michezo hasa wa gofu wameombwa kusapoti mashindano ya Lina PG Tour yanayofanyika kila mwaka kwa lengo la kumuenzi mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya wanawake marehemu Lina Nkya….

Waziri Mkuu Majaliwa mgeni rasmi Samia Marathon Mlandizi

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Mbio za Samia Marathon zitakazofanyika Februari 22, 2025, katika viwanja vya Shule ya Mtongani, Mlandizi, Kibaha Vijijini, mkoani Pwani. Mbio hizi zinalenga kuhamasisha wananchi kuhusu umuhimu…

TAKUKURU kuna rushwa kwa waamuzi

Na Andrew Peter, JamhuriMedia, Dar es Salaam Madai na shutuma za waamuzi kuhongwa ni moja ya mambo ya kawaida kuyasikia kila siku katika Ligi Kuu Tanzania Bara, lakini hadi sasa Takukuru haijafanya lolote kuwakamata wahusika. Waamuzi wanalaumiwa kwa kufanya upendeleo…

Serikali yaongeza bajeti ya michezo, yapiga hatua kubwa uendelezaji michezo nchini

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Katibu Mtendaji wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Neema Msitha, amefichua kuwa Serikali ya Awamu ya Sita imeiongezea Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo bajeti kutoka shilingi bilioni 35.44 mwaka wa fedha 2021/2022…

Uwanja wa AFCON Arusha wafikia asilimia 25

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema ujenzi wa Uwanja wa Michezo wa Arusha unaotarajiwa kutumika kwa ajili ya mashindano ya Fainali za AFCON 2027 umefikia asilimia 25 za…