JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Majaliwa: Tanzania imejipanga maandalizi CHAN, AFCON

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imejipanga vyema kukamilisha maandalizi yote muhimu ikiwemo miundombinu kwa ajili ya Fainali za Ubingwa wa Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) na Kombe la Mataifa ya Afrika(AFCON). “Tanzania imejipanga vizuri, kuhakikisha kuwa michuano hii…

Sheikh Alhadi Mussa azindua Wanawake Laki moja Cup Temeke

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Temeke JUMUIYA ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT) kupitia kwa Mwenyekiti wake Taifa, Sheikh Dkt. Alhadi Mussa Salum ameipongeza Taasisi binafsi ya Wanawake Laki Moja kwa kudhamini Tamasha Ligi ya Wanawake yenye kauli mbiu: ‘Cheza kama…

Pugu Marathon 2025 awamu ya Tatu Kufanyika Mei 31, mwaka huu

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam ASKOFU Msaidizi wa Jimbo kuu la Dar es Salaam Mhashamu Stephano Musomba ametoa wito kwa jamii kujitokeza kwa wingi na kuhakikisha wanajiandikisha kushiriki Pugu Marathon 2025 itakayofanyika Mei 31, 2025 katika viwanja vya…

Simba njia nyeupe

 SIMBA imeendelea kuthibitisha ni somo katika michuano ya kimaaifa baada ya leo kuifunga CS Constantine ya Algeria mabao 2-0 mchezo wa Kombe la Shirikisho Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Matokeo hayo yameifanya Simba ambayo tayari ilishafuzu robo fainali,…

Watanzania kunufaika na mashindano ya CHAN 2025, AFCON 2027

📌Mashindano yameipa heshima Tanzania kimataifa 📌Rais Samia kinara wa Michezo nchini Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Watanzania watanufaika na fursa mbalimbali za kiuchumi na kijamii zitakazopatikana kuelekea mashindano ya CHAN 2025 na AFCON 2027. Hayo…

Tanzania iko tayari kwa mashindano ya CHAN na AFCON

Na Lookman Miraji Tanzania kwa kushirikiana na nchi jirani za Afrika mashariki za Kenya na Uganda zinategemea kuwa wenyeji wa michuano ya Afrika ya CHAN 2024 na AFCON mwaka 2027. Kwa upande wa Tanzania kupitia kamati ya maandalizi ya CHAN…