JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Viongozi vyama vya michezo waaswa kiwasilisha hesabu za fedha kwa msajili BMT

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar esSm Salaam Viongozi wa vyama na mashirikisho ya michezo nchini wameaswa kuwasilisha hesabu za fedha kwa msajili ambapo ni kwa mujibu wa sheria zilizowekwa na baraza la michezo la taifa. Akizungumza Septemba 30,2024 katika ofisi…

Mtoto Mtanzania ashinda tuzo ya Ballon D’or

Na Isri Mohamed Mtoto Mtanzania Barka Seif ameandika rekodi ya kuwa Mtanzania wa kwanza kushinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka Ballon D’or of the Champions Dream nchini Hispania. Barka anayekipiga kwenye Academy ya vijana ya CF Damm, ameshinda tuzo…

Lina PG Tour yafufua gofu Moshi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Moshi KUWEPO kwa mashindano ya gofu ya Lina PG Tour katika viwanja vya gofu vya klabu ya Moshi Gymkhana, kumesaidia kufufua mchezo huo na kuboresha viwanja hivyo ambavyo awali vilikuwa na hali mbaya kutokana na kutokuwepo kwa…

Serikali Zanzibar kujenga uwanja mkubwa michezo utakaokubalika na FIFA, CAF

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema inajipanga kujenga uwanja mkubwa wa michezo utakaokuwa na vigezo vinavyokubalika na Shirikisho la Soka Duniani FIFA pamoja na Shirikisho la Soka Barani Afrika CAF. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti…

Ligi ya Wavu kurejea Septemba 27

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha Mpira wa Wavu nchini (TAVA) limetangaza rasmi kurejea kwa mzunguko wa pili wa Ligi ya Mpira wa Wavu nchini. Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari leo Septemba 25 Mwenyekiti wa…

Kapombe afunguka alichoambiwa na Mabululu

Na Isri MohamedBeki wa kulia wa Simba, Shomari Kapombe amesema sababu zilizomfanya mshambuliaji wa Al Ahly Tripoli, Agostinho Cristóvão Paciência ‘Mabululu’ kumkimbilia na kumshika mkono ni kumpongeza kwa kazi kubwa aliyoifanya ya kuzuia mashambulizi yao. Mabululu alionekana akizungumza na Kapombe…