Category: Michezo
Mambo matatu mechi ya KMC, Simba
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Sikupata bahati ya kuiona mechi nzima ya ‘Mnyama’ akiwa ugenini dhidi ya Kinondoni Municipal Council kwa kifupi KMC, iliyopigwa wiki iliyopita kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora. Hii ni kwa kuwa nilikuwa…
Simba wanaweza kujenga uwanja wao
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Simba wameanzisha harambee ya kujenga uwanja wao. Tayari wana kiwanja cha kufanyia mazoezi, lakini hawana kiwanja cha kuchezea mechi. Harambee iko moto mitandaoni. Mashabiki na wanachama wanachanga walichonacho katika utaratibu wa kutuma pesa uliowekwa…
Chupuchupu kwa Mkapa
Dar es Salaam Na Mwandishi Wetu Dakika 90 za mchezo uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu na mashabiki wa miamba ya soka Tanzania Bara, Simba na Yanga, zimemalizika kila upande ukisema wenzao wameponea chupuchupu. Mechi hiyo iliyofanyika jioni ya Jumamosi iliyopita imemalizika…
Simba mfukoni mwa Morrison
DAR ES SALAAM NA MWANDISHI WETU Hakika Bernard Morrison ananifurahisha kutokana na mwenendo wake wa ndani na nje ya uwanja. Mchezaji huyo wa Simba ambaye ni raia wa Ghana ana vituko, analijua soka, kisha ana akili. Sijui kama wengi tunamuelewa…
Chama ni Okwi mwingine katika soka letu
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Mwanasoka maaarufu nchini raia wa Zambia, Cletous Chama, ameondoka nchini miezi mitatu tu iliyopita lakini taarifa zake za kurejea nchini zinavuma kwa wingi kuliko hata kile anachokifanya akiwa uwanjani huko aliko sasa. Hali hii…
FEI TOTO… Muda sahihi, umri sahihi, wakati sahihi
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Yupo mchezaji mmoja wa Tanzania kwa sasa anayenivutia. Bila shaka huwavutia mashabiki wengi wa soka nchini. Mchezaji huyu anaitwa Feisal Salum Abdallah. Inasemekana kwamba ni bibi yake ndiye aliyeanza kulifupisha jina lake na kumuita…