JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

Yah: Al-Shabaab waishie huko huko walikoanzia

 

Kama miaka 10 iliyopita, hawa wenzetu Wakenya walikuwa na kazi kubwa ya kusuluhisha mgogoro wa uchaguzi, uliosababisha baadhi ya Wakenya kupoteza maisha na wengine kuendelea kuwa walemavu hadi leo.

 

Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania

 

‘Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania’ ni kitabu kilichoandikwa na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, mwaka 1994. Ndani ya kitabu hiki kuna maneno mengi makali na ya kukosoa uongozi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya wakati huo, iliyokuwa ikiongozwa na Rais Ali Hassan Mwinyi. Mwalimu aliwakosoa wazi wazi aliyekuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais, John Malecela, na aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM, Horace Kolimba. Ifuatayo ni sehemu ya kwanza ya kitabu hicho kama inavyoletwa kwenu neno kwa neno kama alivyoandika Mwalimu mwenyewe. Endelea…

Watanzania huu ndiyo ugaidi

Ndugu zangu nikiwa nawaza tukio baya la ugaidi lililotokea nchi jirani ya Kenya, punde napokea waraka kutoka kwa ndugu yangu Goodluck Mshana. Kipekee nianze kwa kuipa pole ya dhati Serikali ya Kenya na watu wake juu ya tukio la kigaidi lililotokea hivi karibuni. Aidha, niwapongeze wananchi wote wa Kenya kwa moyo wa kutoa pesa na damu kwa wapendwa wao.

Tuepuke vurugu kwa kutenda haki

Juma lililopita, Waziri wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe,  alimwomba Rais Jakaya Kikwete auridhie Muswada wa Marekebisho ya Mabadiliko ya Sheria ya Katiba, kwa lengo la kuepusha vurugu nchini.

Wadau wasikitika magazeti kufungiwa

Wadau mbalimbali wa habari wameeleza kusikitishwa kwao na kufungiwa kwa magazeti ya Mwananchi na Mtanzania.

Gazeti la Mwananchi limefungiwa kwa siku 14 wakati Mtanzania  limefungiwa kwa siku 90.

Tanzania tuige Bunge la Kenya

Kamati ya Bunge ya Ulinzi na Usalama nchini Kenya imeonesha mfano mzuri unaostahili kuigwa hapa Tanzania. Kamati hiyo imetangaza kusudia lake la kuwahoji wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wa Kenya kuhusu tukio la ugaidi katika jengo la kitega uchumi, Westgate jijini Nairobi.