Category: Siasa
Utawala Bora hutokana na maadili mema (5)
Mwaka 1980 Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) , walikuwa na Mkutano wao Mkuu wa Chama katika jeshi. Mkutano ule wa kihistoria ulisimamiwa na Kamisaa Mkuu wa JWTZ na ambaye alikuwa katika Sekretarieti ya Chama – upande wa Oganaizesheni, Hayati Kanali Moses Nnauye, akisaidiwa na kada wa chama, Luteni Jakaya Kikwete Makao Makuu ya Chama.
Nukuu ZA WIKI
Nyerere: Wafanyakazi wasinyonywe, waheshimiwe
“…wafanyakazi wa Tanzania wamelindwa wasinyonywe na matajiri wao, watu binafsi, na hata mashirika ya umma. Kila mfanyakazi apate heshima yake kama binadamu.”
Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Nyerere aliyasema haya kukemea unyonyaji dhidi ya wafanyakazi.
Tumeruhusu mauaji ya viongozi wa makanisa
Katika historia, Tanzania hakijatokea kipindi ambacho udini umepewa nafasi kubwa ya kuvuruga amani ya Tanzania kama kipindi hiki.
Mkuu Usalama wa Taifa aking’oka tutapona?
Katika Gazeti la Raia Mwema la Februari 20-26, 2013, kuna makala yenye kichwa cha habari kisemacho “Mkuu wa Usalama wa Taifa Ang’oke”.
Utawala Bora hutokana na maadili mema (4)
Katika “decentralization” kulitokea vituko katika utawala. Mtu kama daktari wa mifugo kasomea mifugo (shahada ya veterinary) eti anateuliwa kuwa Afisa Tawala Mkuu wa Mkoa (Regional Administrative Secretary). Mkuu wa shule ya sekondari anateuliwa kuwa Afisa Utumishi Mkoa (Regional Personnel Officer) na kadhalika, na kadhalika. Utawala wote ukavurugika mara moja.
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Tuwe makini kuchagua viongozi “Hatari moja ya kuendelea kumchagua mtu yule yule kipindi hata kipindi huweza kuleta hofu na wasiwasi nchini.” Haya ni maneno ya Baba wa taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Gurdjief: Binadamu huwa anabadilika “Binadamu hawezi…