JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

Utawala Bora hutokana na maadili mema (3)

Hata hivyo, siku hizi umeletwa utaratibu wa kuwa na “semina elekezi” kwa viongozi wote wakuu wa Serikali. Utaratibu huu unatokea mara kwa mara (periodically) pale hitaji la kuwaelekeza wanaohusika na utawala dhima na wajibu wao kitaifa.

NUKUU ZA WIKI

 

Nyerere na matumaini ya wanyonge

“Bila Azimio la Arusha, wananchi wanyonge wa Tanzania watakuwa hawana matumaini ya kupata haki na heshima katika nchi yao.”

Haya ni maneno ya Baba wa taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

CCM wachimba umaarufu wa CHADEMA Moshi

MADIWANI wa Manspaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro wamemwandikia barua Waziri Mkuu Mizengo Pinda wakimuomba akubali kusaini makubaliano ya mkopo wa Sh bilioni 19 za ujenzi wa kituo kipya cha mabasi yaendayo mikoani na nje ya nchi kilichopo eneo la Ngangamfumuni mjini Moshi.

Ni ujinga CHADEMA kupinga uzazi wa mpango – (2)

Amani Golugwa amendelea kudai kuwa wasomi wengi wameshangazwa na kauli ya Rais Kikwete ya kuwataka Watanzania wafuate uzazi wa mpango. Huo ni uzushi ambao CHADEMA ni kawaida yao.

Sagara: Katiba izuie wastaafu kurejeshwa kazini

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime mkoani Mara, Amos Sagara (pichani chini), amependekeza Katiba mpya izuie wastaafu kurejeshwa katika utumishi wa umma.

Utawala Bora hutokana na maadili mema (2)

 

Mara baada ya Uhuru baadhi ya wageni kwa dharau za makusudi kabisa walijaribu kuchezea uwezo wa Serikali ya Taifa letu huru. Nitoe mifano ya dharau za namna hiyo.