Category: Siasa
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Viongozi wabovu hulizwa na matatizo
“Viongozi wabovu wenye mioyo ya kuku, hulizwa na matatizo; bali watu madhubuti, wenye mioyo thabiti, hukomazwa nayo… hatima ya nchi yetu ni jukumu letu. Kwa pamoja tunaweza kuisaidia nchi yetu kusonga mbele kuelekea kwenye haki zaidi na usawa zaidi kwa Watanzania wote.”
Haya ni maneno ya Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Mtendaji Mkuu OSHA matatani
Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Dk. Akwilina Kayumba, anahusishwa na matumizi mabaya ya madaraka na ya fedha za umma.
Ni ujinga CHADEMA kupinga uzazi wa mpango
Desemba 31, 2012 Rais Jakaya Kikwete alitangaza matokeo ya sensa ya watu na makazi, iliyofanyika Agosti mwaka huo. Rais Kikwete alitangaza kwamba kwa mujibu wa matokeo ya sensa hiyo idadi ya Watanzania ni 44,929,002.
Utawala bora hutokana na maadili mema (1)
Sehemu hii ya makala ilichapishwa katika toleo lililopita ikiwa na upungufu kidogo. Kwa sababu hiyo, tumeamua kuirejea yote pamoja na kuweka maneno yaliyokosekana katika makala hiyo. Tunaomba radhi kwa usumbufu.
Mhariri
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Nilipata ajali ya kihistoria
“Kitaaluma mimi ni mwalimu wa kufundisha darasani; lakini kwa sababu ya ajali ya kihistoria nilijikuta nikiwa kiongozi wa mapambano ya kudai uhuru na baadaye kiongozi wa nchi yetu.”
Maneno haya ni ya Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
MAONI YA KATIBA MPYA
Dk. Kamani: Mahakama isiwe juu ya sheria nchini
Mbunge wa Busega mkoani Simiyu Dk. Titus Kamani (CCM), amependekeza pamoja na mambo mengine, Katiba mpya idhibiti uhuru wa Mahakama na kuruhusu uundaji chombo maalumu cha kuwabana wahujumu uchumi.