Category: Makala
Sasa tunapaswa kuwa na BAKWATA mpya
Na Angalieni Mpendu Salaam aleikum! Na wasio Waislamu Tanzania nzima. Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) leo linatimiza miaka 51 tangu liundwe tarehe 17 Desemba, 1968 jijini Dar es Salaam baada ya kuvunjwa kwa Jumuiya ya Waislamu wa Afrika ya…
Yah: Naanza kuandika historia ya maisha yangu (4)
Wiki iliyopita niliishia kuwaeleza uzalendo wangu wa kuwa mtunza stoo ya kijiji hasa kipindi kile ambacho tulikuwa katika vita ya kumtoa Nduli kule Uganda. Ni kipindi ambacho nilikuwa nikikusanya vyakula, mifugo na vijana wanaojitolea kwa kuwaandikisha majina. Sikumbuki ni wapi…
MAFANIKIO KATIKA AKILI YANGU (9)
Na Phabian Isaya Katika toleo lililopita tuliishia katika aya isemayo: “Simuoni siku kadhaa sijui amepotelea wapi? alisema kijana wake aliyekuwa na dharau kwa kijana Noel. Alikuwa hamuamini kwa lolote na alimuona kama bango bovu lililofutika maandishi. Sasa endelea…. “Mmmh! Vijana…
Uamuzi wa Busara (2)
Wiki iliyopita katika kitabu hiki cha ‘Uamuzi wa Busara’, tulisoma kuhusu uamuzi wa Mwalimu Nyerere kuacha kazi ya ualimu ili apate nafasi ya kuendesha siasa za kuikomboa nchi. Katika maandiko hayo tuliishia sehemu ambayo wajumbe watatu waliotumwa na gavana wa…
Shida kama hizi hazitakwisha Chadema
Ninaitaja Chadema na kuitolea mfano kwa sababu sasa hivi ndicho chama ambacho kinakabiliwa na tatizo ninalotaka kulizungumzia. Pamoja na Chadema, karibu vyama vingine vyote vimepitia tatizo la watu kujiunga navyo kisha baadaye kuamua kuachana navyo. Hivi sasa nchi inazungumzia hatua…
Rais Magufuli usiogope, tembea kifua mbele
Mwezi mzima wa Oktoba tumeadhimisha na kushiriki kwenye makongamano mbalimbali ya kumbukizi ya miaka 20 ya kifo cha Baba wa Taifa. ‘Vumbi’ la makongamano na maneno mengi kwenye vyombo vya habari, mitandaoni na vijiweni sasa limetulia, lakini limeacha mambo ya…


