JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

NINA NDOTO (23)

Itumie intaneti isikutumie   Kama kuna watu waliishi kuanzia miaka ya 1990 na kurudi nyuma ukiwarudisha leo duniani wataona maajabu mengi. Dunia imebadilika sana, imekuwa kama kijiji. Leo hii unaweza kuwasiliana na mtu aliyeko nje ya nchi kana kwamba ni…

Tumejipanga kuvihudumia viwanda

Wakati nchi ikijiandaa kwenda kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na baadaye Uchaguzi Mkuu 2020, Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASA) inazidi kuwapatia wananchi wa Dar es Salaam na Pwani maji. Ni wakati mwafaka kuwahamasisha na kuwaelimisha…

MAISHA NI MTIHANI (34)

Wameniteta naye huwa amewateta Kusemwa ni mtihani. Wameniteta naye huwa amewateta (Methali ya Wanyankole). Unanisengenya, wanakusengenya (Methali ya Wahaya). Wawili husengenya mmoja (Methali ya Wahaya). Huwezi kuwazuia ndege wasiruke juu ya kichwa chako, wataruka tu, lakini wakitaka kujenga viota lazima…

Ndugu Rais ‘meseji’ ya Tshisekedi imefika?

Ndugu Rais safari yangu ya kwanza kwenda Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC ilinifanya niwaamini waliosema, tenda wema nenda zako, usingoje shukrani. Ujio wa Rais wa DRC ndugu Félix Tshisekedi umenikumbusha yaliyonitokea huko baada ya Rais Laurent Kabila kuikomboa Zaire…

Ya AFCON, Taifa Stars na maagizo ya Rais Yoweri Museveni

Ukitaka kufahamu habari za mjini – mji wowote – muulize dereva wa teksi. Kwa kawaida ana taarifa nyingi na muhimu, na si ajabu kuwa hivyo. Anabeba abiria kila wakati na abiria kama ilivyo tabia ya binadamu yeyote, wana mdomo na…

Kuzuia mwanandoa kuuza ardhi ya familia

Kuna wakati katika maisha ya ndoa, mmoja wa wanandoa anaweza akataka kuuza au kubadili jina la nyumba ama  kiwanja bila ridhaa ya mwenzake ilhali nyumba hiyo ni ya familia. Lakini pia nje ya hilo kuna mazingira ambayo mtu anaweza kuwa…