JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

MAISHA NI MTIHANI (17)

Hofu ni mtihani. Kuna aliyesema: “Hofu ina maana mbili: sahau kila kitu na kimbia; maana ya pili, kabili kila kitu uinuke.” Huenda ilipo hofu ndipo palipo mafanikio yako. “Kila kitu unachohitaji kiko upande wa hofu,” alisema Jack Canfield. Mara nyingi…

Demokrasia Tanzania imetundikwa msalabani (1)

Mwaka 2015 kuelekea Uchaguzi Mkuu wa taifa letu la Tanzania, niliandika makala nyingi sana katika Gazeti hili la Jamhuri. Makala zangu zilikuwa zinakosoa mwenendo wa Chama tawala (CCM). Sihitaji kusimulia kilichonitokea lakini inatosha kudokeza kiduchu: ‘Niliambulia vitisho vya kuondolewa uhai…

Semina elekezi zisipuuzwe

Rais John Magufuli alipoingia madarakani alionyesha wazi kutoshabikia suala la ‘semina elekezi’ kwa wateule wa ngazi mbalimbali. Alipotangaza Baraza la Mawaziri alisema wazi kuwa hana mpango wa kuendelea na semina elekezi, bali lililo muhimu ni kwa wateule kuchapa kazi kwa…

Nafsi inapenda mambo mazuri na matamu

Nafsi ya binadamu inapenda mambo mazuri na matamu inapojionyesha na kujipambanua mbele ya nafsi nyingine za wanadamu, lakini ina mtihani mkubwa wa kutawaliwa na ushetani katika kufanya mambo mabaya na machungu, hivyo kuondoa heshima na thamani ya nafsi. Nafsi hupata…

Yah: Nina tabia ya kukumbuka mambo ya zamani tu

Sijui ni kwanini leo nimeamua kuandika waraka huu, najua wapo ambao watakumbuka kama mimi, tulipotoka ni mbali, hilo halina ubishi, lakini leo naona ni kama sekunde tu kuyakumbuka na ndiyo maana hata kutoa salamu naona kama nitakuwa nawapotezea muda. Najihisi…

Ubabe wa wachuuzi

Mpita Njia (MN) yapo mambo anamkosoa Rais Magufuli, lakini yapo mengine – tena mengi – anayokubaliana naye. Waswahili walisema mnyonge mnyongeni, lakini haki yake mpeni. Kazi inayofanywa sasa katika maeneo mbalimbali nchini inatia fora. Kumjaza sifa zilizopitiliza kunaweza kumfanya abweteke,…