Category: Makala
Nahisi demokrasia yetu inahitaji fasili mpya (1)
Demokrasia inatafsiriwa kuwa: mfumo wa kuendesha serikali iliyochaguliwa na watu kwa manufaa ya watu. Tafsiri haina tatizo, lakini yapo mambo yanavyoweza kutokea ndani ya mfumo huo ambayo yanaweza kusababisha hitilafu kubwa. Kwa utaratibu wetu, kila baada ya miaka mitano vyama…
Ng’ombe 1,000 wanaliwa Dar kila siku
Ng’ombe 1,000 wanaliwa kila siku jiji Dar es Salaam. Takwimu hizo zimepatikana katika machinjio yote yaliyoko jijini. Hali hiyo imesababisha ongezeko la mapato kutoka Sh milioni 4 hadi Sh milioni 8 kwa siku katika Mnada wa Mifugo Pugu, nje kidogo…
Mgogoro wa Israel na Palestina – 9
Madhumuni ya Mamlaka: Dhana ya Mamlaka za Kimataifa (International Mandates) zilichagizwa na Rais Wilson na viongozi wengine wa mapinduzi ya Russia na ukomo wa vita katika Vita ya Kwanza ya Dunia isingehusisha mmego wowote (annexation), lakini ingekatika katika Kanuni Kuu…
RIPOTI YA RUSHWA YA JAJI WARIOBA – 35
Wagawa viwanja barabarani Ugawaji wa nyumba za Shirika la Nyumba (NCH) 663. Kwa muda mrefu kumekuwepo na malalamiko miongoni mwa wananchi kuhusu ukiukwaji wa utaratibu unaotumika katika kugawa nyumba za Shirika. Baadhi ya waombaji wa nyumba hizo wamejaza fomu…
Usalama wa wachimbaji wadogo, changamoto kubwa
Mkoa wa Geita, ambao umetawaliwa na shughuli za uchimbaji madini, sasa unakabiliwa na changamoto za usalama kazini katika machimbo yanayowahusisha wachimbaji wadogo. Moja ya matukio hayo ni pamoja na lile lililotokea usiku wa kuamkia Januari 26, mwaka huu ambapo watu…
Ndugu Rais vita dawa za kulevya tusilaumiane, tusahihishane
Ndugu Rais tumejitoma katika vita dhidi ya dawa za kulevya. Ni kwa bahati mbaya sana vita yetu hii imeanza kwa kuzua zogo kubwa katika nchi. Watu wamevurugana na kugawanyika. Vita inayopiganwa na wapiganaji waliogawanyika haijawahi kushinda popote duniani. Kama tunadhani…