Category: Makala
Trump: Jipu kubwa Marekani
Alivyoanza alionekana kama mtoto anayeng’ang’ania kukesha kwenye ngoma ya watu wazima, lakini katika mchakato wa uchaguzi unaoendelea nchini Marekani sasa, Donald Trump anatishia kusambaratisha hali iliyozoeleka kwenye siasa za taifa hilo. Si mara ya kwanza kwa Trump kujaribu kugombea nafasi…
Maskini anapopuuza kunyimwa misaada!
Machi 28 mwaka huu, Serikali ya Marekani ilisitisha na kuvunja uhusiano wake na Serikali ya Tanzania katika mambo yote yanayohusu miradi ya mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC) kwa kuondoa dola za Kimarekani milioni 472.8 (zaidi ya shilingi trillion 1…
Hifadhi ya Taifa Serengeti inakufa
Hifadhi ya Taifa Serengeti, iliyowavuta maelfu kwa maelfu ya wageni kutoka ndani na nje ya nchi yetu, inakufa. Tofauti na wengi wanavyodhani, athari za ujangili Serengeti si kubwa wala tishio kwa uhai wake, isipokuwa kinachoiua Serengeti ni siasa na wanasiasa!…
Mazuri ya Cuba yasiyosemwa
Machi 21 na 22 mwaka huu, Rais Barack Obama wa Marekani alifanya ziara ya kihistoria nchini Cuba. Ya kihistoria kwa sababu hii ilikuwa ziara ya kwanza ya Rais wa Marekani nchini Cuba tangu miaka 88 iliyopita. Mara ya mwisho ilikuwa…
JKN na JPM wanalingana?
Nimekuwa nikisikia, nimesoma katika magazeti na hatimaye ninajiuliza hivi ni kweli viongozi hawa wanalingana? Ulinganisho mara nyingi unakuwa kwa vitu vya aina moja. Katika ulinganisho kuna vigezo vinavyokubalika. Inapokuja kulinganisha utawala wa viongozi mbalimbali hapo kunatakiwa uangalifu wa hali ya…
Yah: Kuna viongozi wanayabananga kwa hofu ya ‘hapa kazi tu’
Nianze kwa kuwapongeza wale wote waliomwelewa Mheshimiwa Rais John Pombe Magufuli, kwamba anataka watu wasibweteke wafanye kazi, na kufanya kazi siyo lazima uonekane kwa kukemea kila kitu hata ambacho hukijui. Hii dharura iliyojitokeza ya kukurupuka kutoka usingizini kwa baadhi ya…