Category: Makala
Yah: Naipenda Tz ya wajinga wengi
Kuna wakati huwa najiuliza, hivi ni kweli kwamba ngozi nyeusi ni alama ya laana au mkosi? Sipati jibu kwa kuwa wapo ambao wana ngozi nyeusi na hawakumbwi na laana hiyo, lakini pia huwa najiuliza, ni kweli kwamba kutawaliwa ni dalili…
Tunajivunia miaka 51 ya Muungano wa Tanzania
Jumapili iliyopita ya Aprili 26, Muungano wa nchi mbili za Tanganyika na Zanzibar ulitimiza miaka 51 tangu ulipoasisiwa mwaka 1964 na Rais wa Jamhuri ya Tanganyika, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, na Rais wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, Sheikh Abeid…
Kumshitaki kwa jinai aliyevamia ardhi yako
Katika migogoro ya ardhi, yapo mambo mengi ambayo hujitokeza. Yumkini hii yote huwa ni katika kusaka haki. Liko jambo moja ambalo ni muhimu watu kulijua hasa wale ambao tayari wamejikuta katika migogoro ya ardhi. Mara nyingi imekuwa ikitokea pale mtu…
Kuchanganya lugha ni changamoto endelevu
Watanzania wengi wanaozungumza Kiswahili na waliojaaliwa kupata kiasi fulani cha elimu, huugua ugonjwa ambao moja ya dalili zake ni kuongea au kuandika kwa kutumia zaidi ya lugha moja. Na kwa kawaida, lugha ya pili huwa ni Kiingereza. Akifunga Mkutano…
Wafanyakazi ndiyo injini katika ujasiriamali
Mwishoni mwa Februari mwaka huu nilikuwa nikisafiri kutoka Wilaya ya Mvomero kuelekea Kilombero mkoani Morogoro. Nilipofika Morogoro mjini niliingia kwenye basi moja ambalo linafanya safari zake kati ya Morogoro mjini na Ifakara. Muda niliokata tiketi katika basi hilo ilikuwa ni…
Nape asimamia msimamo Panga CCM liko palepale
Na Angela Kiwia Katibu wa Halmashauri Kuu, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, anasema kwamba kada yeyote atakayepatikana na hatia ya kukiuka maagizo au taratibu za Chama Cha Mapinduzi (CCM), atachujwa tu. Kadhalika, amesema kwamba kwa watakaokatwa…