Category: Makala
Udini sasa nongwa (2)
Ningependa nioneshe pia kuwa wapo wasomi wasiojiamini kabisa ingawa wana shahada za vyuo viikuu. Kama si upotoshaji wa kukusudia, basi hawana elimu (not liberated mentally), ni wajinga ingawa wamesoma (have been to school but not educated).
Tatizo la Kusini wanaamini wanaonewa
Ninatoka kusini mwa Tanzania mkoani Mtwara. Matukio yaliyotokea humo hasa kuanzia Desemba 2012 hapana shaka yamewashtua na kuwashangaza watu wengi.
Tuache kufyatua maneno
Habari yenye kichwa cha maneno, “Waziri achafua hewa mazishi ya Padri Z’bar” iliyochapishwa Februari 21, 2013, ilinikumbusha agizo la Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa (pichani chini), aliyetuasa akisema “Kama hujafanya utafiti, huna haki ya kuzungumza”.
Wafanyakazi ‘wazembe’ ni msiba kwa ujasiriamali
Mwishoni mwa Februari, wakati nikisafiri kutoka Wilaya ya Mvomero kuelekea Kilombero, nilipofika mjini Morogoro, niliingia kwenye basi linalofanya safari kati ya Morogoro na Ifakara.
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Tushirikishe watu katika maendeleo
“Kama maendeleo ya kweli ni kuchukua mahali, watu wanapaswa kushirikishwa.”
Hii ni sehemu ya maneno ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere katika kitabu chake cha Uhuru na Maendeleo, 1973.
Uchumi ndiyo lugha ya Afrika Mashariki
Wiki mbili zilizopita nimekuwa nikiandika waraka wa kiuchumi kwa wafanyakazi. Kwa ujumla wake, waraka huo utaendelea hadi sehemu ya 10. Kutokana na urefu huo, nimepanga kutouleta kwa mfululizo wa wiki zinazofuatana, badala yake nitakuwa ninauleta kwa wiki tofauti, mwaka huu.