Category: Makala
Serikali isipuuze, udini upo, iudhibiti – 3
Wote tunakubali kuwa elimu ni ufunguo wa maisha. Kumnyima mtu au kundi moja ni sawa kumnyima mtu au kundi hilo maendeleo ya maisha yeke au yao katika uchumi madaraka, ajira na tija nyinginezo.
Je, ushirikina unafanikisha biashara?
Mapema mwaka huu nilikuwa miongoni mwa maelfu ya wakazi wa mji wa Iringa, waliokwenda kushuhudia sakata la misukule katika Frelimo, iliyodaiwa kuwa kwenye nyumba ya mama mmoja mfanyabiashara maarufu mjini hapa. Licha ya kufika mapema sana eneo hilo lakini sikubahatika kuona misukule!
JKT ni mtima wa Taifa (5)
JKT ni mtima wa Taifa (5)Napenda kukumbusha wahusika kuwa wakati utaratibu wa kuwaita vijana kwa mujibu wa sheria ukiandaliwa katika ile (White Paper No. 2 ya mwaka 1966), katika ibara ya 9, kulianishwa masomo ya kuwafundisha vijana wote katika JKT.
Tamaa ya utajiri yachochea ushirikina migodini Geita
“Ushirikina huku Geita ni mkubwa, wachimba madini wengi wanaamini hawawezi kufanikiwa bila kufanya ushirikina, ndio maana kuna vitendo vya mauaji ya alibino na kukata viungo vyao.”
Hiyo ni kauli ya mchimbaji mdogo wa dhahabu katika mgodi wa Nyarugusu alipozungumza na JAMHURI hivi karibuni, kuhusu ukubwa wa imani za ushirikina kwa wachimbaji wadogo wa madini mkoani Geita.
Kwa hili nasimama na David Cameron
NAANDIKA makala hii nikiwa jijini Manchester kwa shughuli maalumu ya kimichezo, nikiwa mdau kiasi. Naandika nikiwa bado na tafakari nzito na hofu juu ya hali ya vyombo vya habari vya Uingereza huko tuendako.
Fursa ya biashara ya mtandao duniani
Nianze kwa kuwasalimu wasomaji wetu ambao mmekuwa mkifuatilia safu hii kwa umakini mkubwa. Niwashukuru kipekee wote wanaonipigia simu, kuniandikia ujumbe mfupi (SMS) na baruapepe. Michango yenu wasomaji ina msaada mkubwa sana katika maeneo matatu.
Mosi, inanipa taarifa kwamba ninachokiandika kinasomwa.
- Mkazi wa Magomeni ashinda gari Ford Ranger kupitia Kampeni ya Tembocard ni Shwaa ya CRDB
- Watu 232 wapata huduma ya uchunguzi na matibabu moyo banda la JKCI Sabasaba
- Anitha Waitara aingia kinyang’anyiro cha ubunge Kivule, aahidi kutatua kero ya miundombinu
- Wafanyakazi wa majumbani 700 watunukiwa vyeti vya mafunzo ya VETA
- Samia Infrastructure Bond kuwezesha qakandarasi wazawa kitekeleza miradi kwa wakati
Habari mpya
- Mkazi wa Magomeni ashinda gari Ford Ranger kupitia Kampeni ya Tembocard ni Shwaa ya CRDB
- Watu 232 wapata huduma ya uchunguzi na matibabu moyo banda la JKCI Sabasaba
- Anitha Waitara aingia kinyang’anyiro cha ubunge Kivule, aahidi kutatua kero ya miundombinu
- Wafanyakazi wa majumbani 700 watunukiwa vyeti vya mafunzo ya VETA
- Samia Infrastructure Bond kuwezesha qakandarasi wazawa kitekeleza miradi kwa wakati
- Sagaff ajitosa kumrithi Mavunde Dodoma Mjini
- Naibu Waziri Mwanaidi Aki Khamis achukua fomu kugombea ubunge Viti Maalum
- Serikali ya Awamu ya Sita yamwaga Trilioni 1.1 Kagera, miradi 28 ya kimkakati yatekelezwa
- Wanajeshi DRC wadungua ndege ya misaada ya kibinadamu Kivu ya kusini
- Zaidi ya watu milioni 14 wanaweza kufa kwa kukosa misaada
- Rais Samia, Tume ya Umwagiliaji na Uchaguzi Mkuu
- UDOM yatoa elimu ya ulaji bora kupunguza magonjwa yasiyoambukiza
- Iran yalaumiwa kwa vitisho dhidi ya IAEA
- Amuua mchungaji kwa kuchoka kuombewa muda mrefu bila kupona, Polisi wamshikilia
- Aliyekuwa mhasibu kituo cha afya Endagwe Babati afikishwa kizimbani kwa rushwa